Tofauti ya NGO na Foundation ni nini?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Kama heading inavyojieleza naomba kuelimishwa tofauti ya NGO na Foundation na zinasajiliwa wapi? Na je mawakili wanaandaa Memart zake? Gharama ya chini inaanzia bei gani? Na kama kuna anayejuwa gharama za kusajili anijuze pia.
 
Zinasajiriwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na watoto, kupitia idara ya Asasi zisizo za kiserikali, ingia kwenye tovuti yao wameweka kila kitu, kianzia utaratibu, fomu, mahitaji na gharama zote
 
Kama heading inavyojieleza naomba kuelimishwa tofauti ya NGO na Foundation na zinasajiliwa wapi? Na je mawakili wanaandaa Memart zake? Gharama ya chini inaanzia bei gani? Na kama kuna anayejuwa gharama za kusajili anijuze pia.
Huu Uzi haukutendewa haku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…