Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kama heading inavyojieleza naomba kuelimishwa tofauti ya NGO na Foundation na zinasajiliwa wapi? Na je mawakili wanaandaa Memart zake? Gharama ya chini inaanzia bei gani? Na kama kuna anayejuwa gharama za kusajili anijuze pia.