Tofauti ya Qatar na Taifa Stars ni majina tu uwezo wa mpira ni zero

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Hawa Qatar sijui wamepataje hii nafasi ya kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa kama haya. Timu yao ya Taifa hata Ihefu ina afadhali kubwa mno, mpaka dk. ya 30 washapigwa mbili bila.

Nadhani hawa ndiyo vibonde kuliko timu zote katika mashindano haya. Hii mechi wasipo pigwa hata goli tano sidhani
 
Waarabu nje ya resources za mafuta na gas ndio hivyo tena.
 
Acha hizo kataa ni kama maku tu hamna kitu toka Kombe la Dunia hawq ndio maku yaani samaku
 
Kwwli kabisa hawa ni taifa stars kabisa sema wana hela tuu
 
Kuwa na timu imara na kuandaa mashindano ya kombe la Dunia havina uhusiano kabisaa
 
kuna mtanzania kachezea qatar anaitwa afif ni mtoto wa hassan afif aliyewahi kuchezea simba na akawa kocha wa simba pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…