zigii
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 515
- 211
Nimefuatilia sana sera za hivi vyama viwili nimegundua kuna tofauti kubwa sana na hii inaweza kutuchanganya sisi wapiga kura tusijue sera ipi inatufaa kwa maslahi yetu. CCM wao wanasimamia maendeleo ya vitu CHADEMA wao wanasimamia maendeleo ya watu.
Hapa sasa bila wajuzi wa kuzichambua hizi sera wapiga kura wengi wenye kukosa maarifa ya utambuzi watashindwa kujua wapi panastahili kwenye maendelo ya mtu au vitu kwa wale wajuzi wa kuchambua sera tunaomba msaada wenu ili tupate mwangaza wa wapi tuelekee, nawakilisha.
Hapa sasa bila wajuzi wa kuzichambua hizi sera wapiga kura wengi wenye kukosa maarifa ya utambuzi watashindwa kujua wapi panastahili kwenye maendelo ya mtu au vitu kwa wale wajuzi wa kuchambua sera tunaomba msaada wenu ili tupate mwangaza wa wapi tuelekee, nawakilisha.