Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

Kwanza muamini Mungu mmoja tu ambaye hakuzaa wala kuzaliwa ,wala hana mwana wala anayefanana naye,na amini kiwa muhmaad S.a.w ni mtume wake pamoja na mitume kabla yake issa(Yesu),musa,ibrahm mpka adam kuwa hawa ni mitume wa Mungu wametumwa kuufikisha ujembe mmoja wa kuabudiwa mungu mmoja tu na hawajawahi tofautiana.

then tutakupa utafauti murua wa sunn na shea
karibu sana
Nafurahi kuona some muslims today wana anza kumkiri Kristo mwana wa Mungu, na hii ni zamu yako sasa you Are welcome....too.....You need Jesus Christ in your life, because he is LIFE and TRUTH
 
Siyo kwamba anajifanya Bali ndivyo walivyo ikifika suala la Imani,akili huzivua mithili ya nguo za ndani
YESU NI MUNGU HATUWEZI KULIABUDU JIWE MOJA JEUSI LA KIARABU.

NEVER!
gettyimages-1135579183-170667a.jpg
 
Waislamu ninyi hua mnanielewesha vizuri kabisa maswali yangu.

Naomba mnipe tofauti kati ya sunni na sh’ia na mnielezee nini kimesababisha tofauti hizo ziwepo na je hua kuna migongano baina ya hayo makundi mawili?

Tafadhali naomba nielimishwe juu ya hayo masuala adhimu ili nipate kujifunza vyema na nipate uelewa.
Neno Sunni,Niwale wenye kufata qoran na sunna(Mafundisho ya Mtume rehma na aman ziwe juu yake,AHLU SUNNA WALJAMAA...!

NENO SHIA..
SHIA WAFUASI WAO HUJIITA WAFUASI WA ALI RADHI ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE,,

ASILI YA USHIA NI MYAHUDI ANAYEITWA ABDULLAH IBNU SABAI AL_YAHUD..
HATA UKISOMA VITABU VYA KISHIA VINAMTAMBUA SABAI ALIFIKA MADINA KIPINDI CHA UTAWALA(KHALIFA)UTHMAAN IBNU AFFAAN RADHI ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE,........!

USHIA UKO MBALI KABISA NA UISLAM NI DINI INAYOJITENGEMEA KWA KILA KITU,ILA WAMEJIEGEMEZA NA WATU WALIO NDANI YA UISLAM
 
Shida ilianzia kwenye kifo cha bwana mtume Muhammad (s.a.w) sunni wanakubaliana na wale viongozi waliofatia baada ya kifo cha mtume, kuanzia Abubakar, umar, uthman, kisha ali.. Sasa shia wao wanaona kulifanyanyika uhuni ali alinyimwa uongozi, hivyo wao ni wafuasi wa ali.. Hao wengine wanaona ni wazinguaji(tutumie lugha hii mbovu)
Hakuna shida yoyote hapo hayo yamekuja kama mapandikizi tu,,,,,
Wanasema ulifanyika uhuni aliyewatangulia nani katika swahaba?
Wao wants wanasema WAFUASI wa Ali....
Iko wapi rejea Ali akisema ulufanyika uhuni?
 
Hao watu ni wapotoshaji mnoo lazima wakemewe kwa nguvu zote
Shia sijui niwaite ni wazushi au niwaitaje?! Sijui niwaitaje?!

Kwanza vitabu vyao wanavificha sana! Huwezi kuingia maktaba yao na kusoma vitabu vyao kama wewe si Shia! Kwa nini wanavificha vitabu vyao vingi? Wanaogopa nini?

Na ndiyo maana utawasikia wakitamka hadharani kama kuna kitabu chochote cha Ulamaa wa kishia kasema hivi tutatoa zawadi! Kwa kuwa wanajua vitabu vyao vingi hawaruhusu asiye Shia avisome au vidondokee mikononi mwao hivyo hawataraji yoyote atakuja na ushahidi. Kwa misingi hiyo wanatengeneza mazingira ili waonekane kama wanazushiwa mambo na wanaonewa.

Hatusambazi chuki lakini wana mitizamo ya ajabu sana ambayo inazalisha chuki na dharau pasipo na haki ya aina yoyote ya wao kufanya hivyo!

Nilibahatika kusoma kitabu chao kimoja kinaitwa Usulul Kahfi aisee! Kwanza wanawaita Sunni ni mbwa! Na wanasema Imam Mahdi akija si kwamba atapambana na masihi ddajal tu bali atawachinja sana sunni na nguruwe pia! Yaani Sunni na nguruwe ni kapu moja!

Na kwao ndoa za Mutaa zimehalalishwa!! Hadithi zao za ajabu za kuunga unga!! Hazina mtiririko/mapokeo kama ukisoma za Bukhari au Imam Muslim au Imam Al Bayhaqii n.k

Na ukienda maktaba zao hata ukijitambulisha mi sunni jamani ni muislam mwenzenu nimekuja kusoma vitabu, hawakuruhusu! Kumbe wana kadi kwa shia wote! Vinawatambulisha wao ni akina nani pia! Kwa sababu wamefanyiana sensa wanajuana wote wanaokaa dar!

Tofauti na sisi sunni, vitabu vyetu vipo wazi wala havifichwi.

Sina lengo baya ila wao wanashahabiana na Wayahudi: Wayahudi huruhusiwi kusoma vitabu vyao kama wewe si myahudi kwa sababu wanavificha! Mpaka idhihirike kwao wewe ni Myahudi ndipo utakapovisoma. Ila sherehe zao watakualika tu utahudhuria. Shia nao hawakuruhusu usome vitabu vyao kama wewe si Shia ila sherehe zao watakualika utahudhuria tu!

Na Usul Kahfi kitabu chao ni miongoni mwa vitabu vyao vilivyobahatika kudondokea mikononi mwa masheikh wa ki sunni. Na kuhadaa kwao ni ibada na ni jambo jema hususani kumhadaa msunni.

Nashindwa kabisa kuwaelewa!
 
Yesu na mm hatuna utafauti wowote wa kibinaadam
Alikuwa anakula na kwenda haja kama mm
Alikuwa anahisi maumivu na hasira kama binaadam wengine
Yeye si lolote wala si chochote zaid ya unabii kwa watu wa israil tu na si Mungu wa mwana wa mungu....
Ulishasikia yesu ameoa mtoto wa miaka 8??
 
Utofauti ni kwenye ahadi ya Allah peponi.
Sunni waaamini watapewa wanawake mabikira 72 lakini Shia wanaami watapata bikira 30 kwa kila mwanaume. Utofauti ni bikira 42.
 
Back
Top Bottom