Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
Hivi HALLY HENSEN ni nani kwenye suzuki?
amenMkuu ubarikiwe nimekuelewa sana.
Mkuu hilo ndio jibu. Hiyo ni gari moja, ila majina tofauti kulingana na masoko. Kuna wakati unakuta makampuni yanashirikiana kutengeneza gari, hivyo wanatofautisha majina kwa kila manufacturer lakini ni basically gari moja. Ila kwa Suzuki Vitara, hilo ni gari moja, kama ulivyoelezea. Ni tofauti ya majina tu kulingana na masoko.mkuu habari.... niende kwenye mada moja kwa moja
suzuki escudo , suzuki vitara, suzuki grand vitara hiyo ni gari moja hayo majina yasikuchanganye
first generation ilitoka 1988 ikiitwa suzuki escudo kwa soko la japan Japanese domestic market (JDM) na baadhi ya masoko machache kama asia spec na south america spec
ila kwa soko la US na EUROPE hii gari ilienda kwa jina la suzuki vitara
ilipofika second generation na kuendelea (now wapo forth) jina la suzuki grand vitara likazaliwa
ila ikabaki vilevile kwa soko la japan ikaendelea kuitwa suzuki escudo ila kwa US spec na UK spec ikaitwa suzuki grand vitara
kwahyo mkuu usihofu ukiona inaitwa escudo basi jua hyo ilitengenezwa kwa ajili ya soko la japan (JDM) then ukiona inaitwa grand vitara basi jua hyo ilitengenezwa kwa ajili ya soko la US na UK
ni kama tu toyota corola X assista ukiinunua ya asia spec itaitwa toyota altis
na ndio maana unaona hata kuna vitu ndani pamoja na uimara zinaweza tofauti kwa sababu kila moja hapo ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya soko fulani kutokana na vigezo husika pamoja na mazingira
ushauri ukitaka kuchukua ifate inayoitwa escudo sababu hii ni japanese domestic market (JDM) na mazingira yetu tanzania gari zinazoweza kuhimili shida zetu ni hizo JDM
Nina imani maelezo yangu yatakuwa yamekusaidia kidogo
yah mkuu .. pamoja sana nahisi hata kwenye vits ukichukua cha US spec hivi ndio huwa inakuwa yaris eeeh?Mkuu hilo ndio jibu. Hiyo ni gari moja, ila majina tofauti kulingana na masoko. Kuna wakati unakuta makampuni yanashirikiana kutengeneza gari, hivyo wanatofautisha majina kwa kila manufacturer lakini ni basically gari moja. Ila kwa Suzuki Vitara, hilo ni gari moja, kama ulivyoelezea. Ni tofauti ya majina tu kulingana na masoko.
Toyota IST in Japan, US ni Scion xA, Urope ni Urban Cruiser, Middle East ni Toyota xA. Ila ni gari lile lile tu
Yes. Yaris ni ki Vitz hicho hicho. Tofauti unaweza kuta ni kwenye ile front grille (show ya mbele) na vitu vichache vya ndani. Otherwise, ni gari lile lile tu.yah mkuu .. pamoja sana nahisi hata kwenye vits ukichukua cha US spec hivi ndio huwa inakuwa yaris eeeh?
Hili lisuzuki ni kubwa sana
Escudo Vitara ndo gari gani? Ukiwa muongo uwe na kumbukumbuMi namiliki Escudo vitara tangu 2006 nimeipaki inafanya shughuri za nyumbani siitembelei ila iko imara sana na siwezi kumuuzia mtu.kuna rafiki yangu alinunua grand kama miaka mitano baadae, alikuwa akinipigia simu niende kumvuta. kwenye efficiency especially kama we una shughuri mbalimbali na za masafa ya kwendea nyumbani mfano kama unaishi Dar unatumia kwendea kijijini na mizigo unabebea kinoma, N.B jitahidi kufanya service.
Kubwa si ndio linafaa Mkuu 2-in-1Hili lisuzuki ni kubwa sana
Hii ndio Suzuki sasa bila kumsahau kaka yake Huyu hapaHii ndo suzuki roho ya paka yani nyauuu..View attachment 1913054View attachment 1913056
Naikubali Sana hii ki porin kuzid kluger
Kluger gari ya akina mama kwenda sokoni huwezi kuweka level moja Sawa na Escudo Massawe. Ile ni Land Cruiser ndogo. Kokote unakatiza bila wasiwasiNaikubali Sana hii ki porin kuzid kluger
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Kluger gari ya akina mama kwenda sokoni huwezi kuweka level moja Sawa na Escudo Massawe. Ile ni Land Cruiser ndogo. Kokote unakatiza bila wasiwasi