RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,018
- 5,752
Alibaba on the biriHii ndo suzuki roho ya paka yani nyauuu..View attachment 1913054View attachment 1913056
Alibaba on the biriHii ndo suzuki roho ya paka yani nyauuu..View attachment 1913054View attachment 1913056
Alibaba on the biriHii ndo suzuki roho ya paka yani nyauuu..View attachment 1913054View attachment 1913056
Ihax on the beat[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alibaba on the biri
Tukilejea mada yetu about three yrs + ago, bado namiliki gari hii na ni imara sana about 16 yrs ago. Kweli itatuweka huruEscudo Vitara ndo gari gani? Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Tehe tehe kwa sautiMaendeleo hayana chama
Bro we Ni Mchaga?Tukilejea mada yetu about three yrs + ago, bado namiliki gari hii na ni imara sana about 16 yrs ago. Kweli itatuweka huruView attachment 2009982
Mi yangu najiuliza..niipeleke service au niiuze..Tukilejea mada yetu about three yrs + ago, bado namiliki gari hii na ni imara sana about 16 yrs ago. Kweli itatuweka huruView attachment 2009982
Huwezi kupata gari imara ya tolei hilo. Watu wamesha nunua na kuegesha kama mara tatu, mimi hii inadunda tu.Mi yangu najiuliza..niipeleke service au niiuze..
Kuna gari nimeona humu zinauzwa 8m za kisasa, sasa najiuliza sijui zitavumilia kama hii