Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kiongozi kwa ushauri wako mzuriTofauti ipo kubwa tuu.lkn kwa haraka haraka achana na push to start ..tatizo kubwa ni garama funguo ikipotea.laki 5 ni suala la kawaida tuu
Utaalamu hapa unahitajika. Wenye ujuzi tafadhali mtufahamisheTofauti ipo kubwa tuu.lkn kwa haraka haraka achana na push to start ..tatizo kubwa ni garama funguo ikipotea.laki 5 ni suala la kawaida tuu
Wataalam mje hapaNasubr majibu
Mkuu hapo tofauti ipo sehem chache tuu..kila kitu ni sawa tofauti ni hapo kwenye push to start na huwa kuna control kama mbili hivi ndio zinaongezeka.Utaalamu hapa unahitajika. Wenye ujuzi tafadhali mtufahamishe
Asante mkuuM
Mkuu hapo tofauti ipo sehem chache tuu..kila kitu ni sawa tofauti ni hapo kwenye push to start na huwa kuna control kama mbili hivi ndio zinaongezeka.
Na lazima uagize kwenye kampuni na usubirie.Tofauti ipo kubwa tuu.lkn kwa haraka haraka achana na push to start ..tatizo kubwa ni garama funguo ikipotea.laki 5 ni suala la kawaida tuu
Start stop engine ni mfumo mpya wa magari mapya na faida yake ni kuwa kila unaposimama ingine huzima na kuwaka pindi unapoondoka.
No hapana hapa hapa bongo zipo za kumwaga na tunaganyia programming hapa hapa bongo mkuu
Mhhh mkuu hembu dadavua vizuri hapo unaposema unaposimama engine inazima inazimaje?? Yaani inazima bila kuzimwa??Start stop engine ni mfumo mpya wa magari mapya na faida yake ni kuwa kila unaposimama ingine huzima na kuwaka pindi unapoondoka.
Kuhusu usalama wake ni mdogo na inachukua sekunde mbili tu kuibiwa na haivunjwi bali inachukuliwa kiulaini tofauti na yenye funguo ingawa pia wakitaka inaibiwa tu pia.
Dunia inabadilika kwa technologies kila mwaka kwa hiyo nakushauri nenda na mdundo tu
Sent from my SM using Tapatalk
Sawa mkuu.No hapana hapa hapa bongo zipo za kumwaga na tunaganyia programming hapa hapa bongo mkuu
Ndio maana ikaitwa start and stop ingineMhhh mkuu hembu dadavua vizuri hapo unaposema unaposimama engine inazima inazimaje?? Yaani inazima bila kuzimwa??
Mkuuu unafaham unachokiongea?? Udhawahi endesha gari au panda gari yenye PUSH to START?? maana unavyoviongea havipo kabisaa..Ndio maana ikaitwa start and stop ingine
Unapokuwa barabarani pindi gari inaposimama inajizima yenyewe na unapotaka kuondoka tena unakanyaga mafuta tu na gari inawaka.
Kwanza ni kusaidia hali ya hewa kwa emission na pili unaokoa mafuta
Sent from my SM using Tapatalk
Unaposema ni uongo ndio unanijichanganya kabisaMkuuu unafaham unachokiongea?? Udhawahi endesha gari au panda gari yenye PUSH to START?? maana unavyoviongea havipo kabisaa..
Hembu elezea au unaposoma soma vizuri..unachokiongea hakipo kabisaaa na niuongo
Nimekuelewa unachoongelea na ni tofauti kati ya hizo moja ni old system na ninayoongelea ni new models sorry nimekupata ila usiniite muongo tena alrightMkuuu unafaham unachokiongea?? Udhawahi endesha gari au panda gari yenye PUSH to START?? maana unavyoviongea havipo kabisaa..
Hembu elezea au unaposoma soma vizuri..unachokiongea hakipo kabisaaa na niuongo
Hembu nambie hizo new model ni za mwaka gani?? Na old ni mwaka gani??..hembu dadavua mkuu ili twende wote wengine sie tunashinda sana na hizi vyuma..coz nishakutana mpaka na gari ya mwaka 2017 lkn huo mfumo wako wa style hiyo sijauona kabisa..wewe uliuona kwenye gari gani??.na ya mwaka ganiNimekuelewa unachoongelea na ni tofauti kati ya hizo moja ni old system na ninayoongelea ni new models sorry nimekupata ila usiniite muongo tena alright
Sent from my SM using Tapatalk
Start stop system imeanza muda sasa kama miaka 10 iliyopita kwa baadhi ya magari.Hembu nambie hizo new model ni za mwaka gani?? Na old ni mwaka gani??..hembu dadavua mkuu ili twende wote wengine sie tunashinda sana na hizi vyuma..coz nishakutana mpaka na gari ya mwaka 2017 lkn huo mfumo wako wa style hiyo sijauona kabisa..wewe uliuona kwenye gari gani??.na ya mwaka gani