Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Out of the topicStart stop system imeanza muda sasa kama miaka 10 iliyopita kwa baadhi ya magari.
Na zingine zikifuatia kama Bentley ambao walianza 2016
Na magari mengi yana mfumo huu kwa sasa...
Mkuu asante kwa ufafanuzi.Start stop system imeanza muda sasa kama miaka 10 iliyopita kwa baadhi ya magari.
Na zingine zikifuatia kama Bentley ambao walianza 2016
Na magari mengi yana mfumo huu kwa sasa.
Mimi binafsi niko London sio mgeni kwa hii system kwani naendesha kila siku
Nina Range ya 2017 na system hii inayo
Pia nimeendesha jaguar xf na xj ambazo waliweka hiyo sytem tangu 2011.
Ni hivi kama ni manual unaposimama kwenye traffic lights kwa mfano, ukiweka neutral na umesimama engine inazima na pindi utapokanyaga clutch na kuweka gear gari inawaka tena.
Kama ni automatic pindi unaposimama tu engine inajizima na kuwaka pindi unapokanyaga accelerator
Tuko pamoja
Najua kuna watu wanazo huko ila labda hujakutana nazo bado.
Hii chini ni Range Rover evoque ya mwaka 2017 nikiwa njiani na ni auto ina system hiyo.
Kwa uelewa zaidi jaribu ku Google utaelewa exactly how it works na ni zipi zina system hiyo.
Kwa technology kwa sasa kama hujaiona gari
Sent from my SM using Tapatalk
Zinaitwa electronic parking brake ambapo hazina lever kama za zamani ambapo unavuta badala yake ni kitasa kidogo tu ambapo unakigusa au kukiinua na hapo ndio umefunga tuseme handbrakeMkuu asante kwa ufafanuzi.
Unaweza ukagusia na hand brake ya umeme kwa hizo gari za kisasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nina watoto wanasoma vyuo huku. Ni mwaka wa 31 niko huku. Nafanya biashara na ninahenya haswa kwenye baridi hii ingawa napenda nyumbani lakini acha tupambane huku huku.Out of the topic
Nikiona wakuu mnamiliki latest cars au mnaishi ama kusafiri europe hua natamani sana. Msisite kuleta nyuzi humu mtuandikie sisi vijana tujue mlipitia njia gani kufika hapo mlipo
Unaweza kua na hiyo range ya 2017 ukajiona kawaida sana.but huku tupo vijana wadogo tunaotamani kufikia hatua iyo ila tunakosa ushauri kutoka kwenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe inawezekana kuishi nje huku ukifanya biashara zako binafsi zisizohusu Elimu uliyosomea ? Lets say nina bachelor degree naweza kukaa huko huku nikipiga biashara tu kama nikitoka huku na capital ?Mkuu nina watoto wanasoma vyuo huku
Ni mwaka wa 31 niko huku
Nafanya biashara na ninahenya haswa kwenye baridi hii ingawa napenda nyumbani lakini acha tupambane huku huku
Gari hizi sio rahisi hivyo ila tunaponea kulipa kwa mwezi na ukiona vipi unauza
Kipendacho roho dawa
Pambana tu hata sisi sio malaika ni kama wewe tu na ipo siku unaweza kufika mbali tu
Sent from my SM using Tapatalk
Hakuna kitu kinashindikana chini ya jua.Mkuu kumbe inawezekana kuishi nje huku ukifanya biashara zako binafsi zisizohusu Elimu uliyosomea ? Lets say nina bachelor degree naweza kukaa huko huku nikipiga biashara tu kama nikitoka huku na capital ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu kwa ku share infoHakuna kitu kinashindikana chini ya jua.
Mwalimu wangu mkuu miaka ya 70 alituambia wakati tunahitimu masomo alisema " Kufaulu mtihani sio kufaulu maisha" huwa nakumbuka bado
Kama utafanikiwa kuingia huku hawana uhasidi wa maendeleo ni wewe na bidii yako na ukiingiliana nao channel ni nyingi sana na wana msaada pia
Kama una hela zako hata ubiya unapata.
Kila mwezi wana sajili biashara zaidi ya 400 kwa hiyo ni kupambana tu
Sent from my SM using Tapatalk
All the best and Happy New year buddyAhsante mkuu kwa ku share info
Napambana sana huku ili nije nifikie level za kumiliki magari mazuri na kutembelea nchi za nje ya Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuuAll the best and Happy New year buddy
Sent from my SM using Tapatalk
Hapo mkuu nimekusoma na vilevile nadhani kila mmoja wetu yupo sahihi sababu nimegundua tunazungumzia mifumo miwili tofauti..mm nazungumzia push to start na ww wazungumzia start stop systerm..Start stop system imeanza muda sasa kama miaka 10 iliyopita kwa baadhi ya magari.
Na zingine zikifuatia kama Bentley ambao walianza 2016
Na magari mengi yana mfumo huu kwa sasa.
Mimi binafsi niko London sio mgeni kwa hii system kwani naendesha kila siku
Nina Range ya 2017 na system hii inayo
Pia nimeendesha jaguar xf na xj ambazo waliweka hiyo sytem tangu 2011.
Ni hivi kama ni manual unaposimama kwenye traffic lights kwa mfano, ukiweka neutral na umesimama engine inazima na pindi utapokanyaga clutch na kuweka gear gari inawaka tena.
Kama ni automatic pindi unaposimama tu engine inajizima na kuwaka pindi unapokanyaga accelerator
Tuko pamoja
Najua kuna watu wanazo huko ila labda hujakutana nazo bado.
Hii chini ni Range Rover evoque ya mwaka 2017 nikiwa njiani na ni auto ina system hiyo.
Kwa uelewa zaidi jaribu ku Google utaelewa exactly how it works na ni zipi zina system hiyo.
Kwa technology kwa sasa kama hujaiona gari
Sent from my SM using Tapatalk
Shukran kwa kunielewa, tuko pamojaHapo mkuu nimekusoma na vilevile nadhani kila mmoja wetu yupo sahihi sababu nimegundua tunazungumzia mifumo miwili tofauti..mm nazungumzia push to start na ww wazungumzia start stop systerm..
Shukrani mkuu wacha nijipe home work wakufuatilia hilo maana ni mfumo mpyaa so nisije chelewa siku nikakutana na gari hiyo nikawa mgeni. Zaidi
Nipe A b c d kuhusu usalama wa gari zinazotumia push to start nitashukuru. Pia uimara wake na madhaifu yake.Shukran kwa kunielewa, tuko pamoja
Elewa pia gari ya mwaka jana sio kama ya mwaka huu maana kila kukicha wanaongeza vitu kwa ushindani.
Na huwezi amini mtu anapokabidhiwa gari jipya ni lazima afundishwe vilivyomo
La sivyo itamchukua siku kadhaa kujifundisha maana wapo wabishi anakuambia ntajifunza mbele kwa mbele kama simu haha
Tuko pamoja
Sent from my SM using Tapatalk
SURE MKUUStart stop system imeanza muda sasa kama miaka 10 iliyopita kwa baadhi ya magari.
Na zingine zikifuatia kama Bentley ambao walianza 2016
Na magari mengi yana mfumo huu kwa sasa.
Mimi binafsi niko London sio mgeni kwa hii system kwani naendesha kila siku
Nina Range ya 2017 na system hii inayo
Pia nimeendesha jaguar xf na xj ambazo waliweka hiyo sytem tangu 2011.
Ni hivi kama ni manual unaposimama kwenye traffic lights kwa mfano, ukiweka neutral na umesimama engine inazima na pindi utapokanyaga clutch na kuweka gear gari inawaka tena.
Kama ni automatic pindi unaposimama tu engine inajizima na kuwaka pindi unapokanyaga accelerator
Tuko pamoja
Najua kuna watu wanazo huko ila labda hujakutana nazo bado.
Hii chini ni Range Rover evoque ya mwaka 2017 nikiwa njiani na ni auto ina system hiyo.
Kwa uelewa zaidi jaribu ku Google utaelewa exactly how it works na ni zipi zina system hiyo.
Kwa technology kwa sasa kama hujaiona gari
Sent from my SM using Tapatalk
Kwa kusema ukweli hili ni gumu kulielezea kwani gari ambazo zinatumia funguo ni mfumo wa zamani sana.Nipe A b c d kuhusu usalama wa gari zinazotumia push to start nitashukuru. Pia uimara wake na madhaifu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu watatuua kuna rang rover moja niliona clip yake gari unaweza funguo ukafungia ndani ya gari na ukatoka na smart watch ukifika unagusa kwenye ile bag/nembo ya range rover basi gari ina unlock milangoKwa kusema ukweli hili ni gumu kulielezea kwani gari ambazo zinatumia funguo ni mfumo wa zamani sana.
Na kuibiwa kwa hizo gari ni kuunganisha waya na gari imewaka.
Lingine ni kuwa unaweza kuifungia funguo ndani ya gari kwa bahati mbaya na likawa tatizo
Lakini kiuhalisia technology ya sasa gari zote zinazotengenezwa sasa ni standard kuwa keyless
Ingawa nayo ina gharama zake kwani huwa inaisha au kuharibika na itabidi ubadilishe system yote kwa hela nyingi, lakini hili ni B
Kwa mimi naona ni kwenda na wakati tu
Keyless cars ni nzuri kwa mengi tu
Sent from my SM using Tapatalk
HahahaWazungu watatuua kuna rang rover moja niliona clip yake gari unaweza funguo ukafungia ndani ya gari na ukatoka na smart watch ukifika unagusa kwenye ile bag/nembo ya range rover basi gari ina unlock milango
Asante sana nimekuelewa vizuriKwa kusema ukweli hili ni gumu kulielezea kwani gari ambazo zinatumia funguo ni mfumo wa zamani sana.
Na kuibiwa kwa hizo gari ni kuunganisha waya na gari imewaka.
Lingine ni kuwa unaweza kuifungia funguo ndani ya gari kwa bahati mbaya na likawa tatizo
Lakini kiuhalisia technology ya sasa gari zote zinazotengenezwa sasa ni standard kuwa keyless
Ingawa nayo ina gharama zake kwani huwa inaisha au kuharibika na itabidi ubadilishe system yote kwa hela nyingi, lakini hili ni B
Kwa mimi naona ni kwenda na wakati tu
Keyless cars ni nzuri kwa mengi tu
Sent from my SM using Tapatalk
Mkuu hizi gari za kisasa ambazo ni auto kwenye kufanya drift au donuts inakuwaje ukiangalia zinatumia hand brake ya button hata gear lever nyingine ni kama button.Hahaha
Kila kampuni inatengeneza ziada ili kuvutia wateja.
Volvos pia ni balaa niliendesha XC90 ina autopilot nikajaribu barabarani ingawa niliogopa mwanzo lakini ina raha yake unaweza kunywa na kahawa kabisa
Kuna zingine kama umebeba mizigo mkononi unafika kwenye boot unapitisha mguu chini ya gari na boot linafunguka hii hata Nissan x-trail mpya inayo.
Yaani maajabu ni mengi kuna volvo 60 ukikata kona taa zinamulika kama zinakata kona nazo kweli kuna raha yake
Sent from my SM using Tapatalk
Kwa kweli sijawahi kufanya hivyo na sina uhakika nalo kwani umri kwa sasa umenitupa ingawa miaka ya nyuma sana nilikuwa ni mshabiki na mmiliki wa sport cars za aina tofauti na ndio ulikuwa mchezo wangu.Mkuu hizi gari za kisasa ambazo ni auto kwenye kufanya drift au donuts inakuwaje ukiangalia zinatumia hand brake ya button hata gear lever nyingine ni kama button.
Mfano wa Ile Audi aliyotumia Jason Stratum katika movie ya Transporter.
Sent using Jamii Forums mobile app