Tofauti ya trector za kichina na hizi massey ferguson john deere.... ni ipi hasa!!

Tofauti ya trector za kichina na hizi massey ferguson john deere.... ni ipi hasa!!

Tractor mpya zipo za aina nyingi na bei tofauti.

Bei inategemea ni trekta gan

Ni mara chache sana ukute mtu ananunua trekta, jembe na teller.

Teler zinatoka na trekta ni ndogo mno so hazipendwi.

Kwa mm siwez kujua bei ya trekta tela na jembe mpya.

Lakin Swaraji inaenda milion 25-30, New Holland mil 40. John Deer 2130 mil 105.

Hapo unaweza kuuziwa na jembe au bila jembe.

duh hio john deere ipi ndug mbn mkwanja ni mrefuuu ivo!!!!!
 
Tractor mpya zipo za aina nyingi na bei tofauti.

Bei inategemea ni trekta gan

Ni mara chache sana ukute mtu ananunua trekta, jembe na teller.

Teler zinatoka na trekta ni ndogo mno so hazipendwi.

Kwa mm siwez kujua bei ya trekta tela na jembe mpya.

Lakin Swaraji inaenda milion 25-30, New Holland mil 40. John Deer 2130 mil 105.

Hapo unaweza kuuziwa na jembe au bila jembe.
Thanks
 
India labda Swaraj tu ina afadhali, ila Farm Truck au John Deer new model ni kichefu chefu. Hii John Deer ya India spea zinapatikana India. hapa Tz hamna. Pia mkono wake wa jembe ni mwembamba sana kukatika n rahisi hauna nguvu.

Watu wanakimbilia hiz John Deer maana kiukweli zina shape nzuri na njian zinakimbia lakin shamban kimeo.

Pia hazidumu, mwaka tu ubabadilisha spea.
hivi majembe hayaingiliani?? mashine una nunua massey jembe john dee, tela la holland... hii haiwezekani???
 
hivi majembe hayaingiliani?? mashine una nunua massey jembe john dee, tela la holland... hii haiwezekani???


Jembe na tela zinaingiliana kwa trekta zote.

Mfano mwaka jana nilikuwa shambani ninaendesha mwenyewe John Deer iliyofungwa jembe ya Maasay. Hata tela zinaingiliana tu sema sasa mfano John Deer inaweza ikavuta tela kubwa ambayo Swaraji itashindwa maana Swaraji ni nyepesi.

Maq nyingi tela ni za kuchonga, so maamuzi ni ya mtu binafsi anataka ya ukubwa gan na trekta yake ina uwezo gani.

Swaraji inaweza, mfano, kuvuta tela kubwa ila hiyo tela ikijazwa mzigo full unaiua trekta.

Na hapo ndipo utakuta ,mfano, ukimwambia mtu mzoefu kuwa unauza trekta aina fulani, atakuuliza bila jembe? Hii ina maanisha kwamba majembe yanaingiliana so mtu anauza trekta then jembe na ana uhakika wa soko kwa kuwa yanaingiliana
 
Jembe na tela zinaingiliana kwa trekta zote.

Mfano mwaka jana nilikuwa shambani ninaendesha mwenyewe John Deer iliyofungwa jembe ya Maasay. Hata tela zinaingiliana tu sema sasa mfano John Deer inaweza ikavuta tela kubwa ambayo Swaraji itashindwa maana Swaraji ni nyepesi.

Maq nyingi tela ni za kuchonga, so maamuzi ni ya mtu binafsi anataka ya ukubwa gan na trekta yake ina uwezo gani.

Swaraji inaweza, mfano, kuvuta tela kubwa ila hiyo tela ikijazwa mzigo full unaiua trekta.

Na hapo ndipo utakuta ,mfano, ukimwambia mtu mzoefu kuwa unauza trekta aina fulani, atakuuliza bila jembe? Hii ina maanisha kwamba majembe yanaingiliana so mtu anauza trekta then jembe na ana uhakika wa soko kwa kuwa yanaingiliana

thanks [emoji1374]
 
habar wadau , habari za sikunyingii
hatimae JF yetu imerudiii [emoji28][emoji28][emoji28]

twende kwenye mada wakuu.

binafsi nimekua nina interest kubwa ya kumiliki trector walau 2 tu while nikifanya mishe mishe zangu town naamini ntafika ninapo pata kwa haraka zaid sas shida ni kuusu hizi trector za kichina hivi zina tatizo gan mana ni cheap sana.. unakuta trector ina uzwa us dolla 3500 na trector ni mpya yaan 0 kilometer 4wd hp 85 hapo hapo ukija upande wa pili huku kwa kina john deere trector 4wd hp 85 bei yake hugusii yan ni pesa ndefu ambayo kwa usawa huu wa magu kijana kama mimi kupata hio pesa inakua ni mazoeziii


ombii kwa wataalam tofaut hasa ni ipiii
kwan hizi trector za kichina haina uwezo kwa kulima walau eka 15 per day??

mana izo massey zipo naziona mtandaon had dollar 3500 sas shida ni kweli zinauzwa bei hio mana USA ni mbali na actually siamini hizi mitandaoView attachment 800264View attachment 800265View attachment 800266


izi massey ni bei yke kwel au fixx binafs nilifikilia nikanunue tu trector za kichina mana ni cheap sanaaa



naomben ushauli kabla cjapotea wadau...
Mkubwa kama unajiweza nakushauri ununue fagason au masey japo gharama iko juu kiasi ila urahisi wake ni kuwa spare zinapatikana kila mahali na ni ngumu kuliko hizo zakichina ambazo zikiharibika spare hadi uagize kwao yaani soko la spare wamelishikilia wao wachina wenyewe hata ufundi same time hua wanataka wakutengenee wao wenyewe
 
Kwa uzoefu wangu, wa miaka miwili na John Deer na kilimo kwa ujumla.

Ni hivi, wakulima hununua trekta kwa mkopo yaani mfano kama gharama halisi ni mil 40 mkulima analipa 10 au 15 hivi then trekta inafanya kazi na kujilipa yenyewe.

lakin pia unaweza ukapata trekta John Deer used hata kwa mill 10 tu hadi 8.

muhimu uwe na fundi mzoefu akukagulie

John Deer 2130 ndiyo nzuri achana na hizi mpya.

pia New Holland na Swaraji na Maasay za Mwingereza.

pita mbali na Farm Truck, John Deer New model za india. Achana kabisa na Maasay ya pakistan au matrekta ya mchina.

ila ukipata ford au Fiat ziko poa.

Ila John Deer 2130 old model, Fiat na New holand ni kiboko yao.

So si lazima kununua mpya na si lazima kununua kash kama bomba dia
Hiyo ford au fiat kwa hapo bongo sijui kama zipo na spare inamsumbua kiasi kama akioata maana ile ni mwingereza kila kitu
 
nimekupata ndugu sas hizo john deere used nawaza kuzipata wapiii hapa hapa bongo??
yan inakua imetumia uk au wap mkuu
Used zipo ila tatizo ni spare kuipata labda uagize mombasa au nairobi
 
bei za wachina wanazoziweka katika mtandao wao wa alibaba hazina uhalisia. iyo tractor ya $3500, ukiwaambia wakupe invoice mpka inafika dar es salam port utaskia ni $20000
Hahaaa kweli kabisa na mchina alichoharibu spare wanataka wakuuzie wao tuu
 
Mkubwa kama unajiweza nakushauri ununue fagason au masey japo gharama iko juu kiasi ila urahisi wake ni kuwa spare zinapatikana kila mahali na ni ngumu kuliko hizo zakichina ambazo zikiharibika spare hadi uagize kwao yaani soko la spare wamelishikilia wao wachina wenyewe hata ufundi same time hua wanataka wakutengenee wao wenyewe

kwahyo ni ivo 2???? ina mana yananguvu safi tu na unapiga kazi kama mengine?? mana likiwa jipya hadi kuanza kusumbua lazima uchukue mda kidog!!!!
 
me ntanunua haya haya matrector ya kichina nijionee alafu ntawapa mrejeshoooo
 
Back
Top Bottom