Tofauti ya usalama kati ya ebay na amazon

Tofauti ya usalama kati ya ebay na amazon

Hutegena njia ya usafirishaji ambayo muuzaji husika anaitumia

Kuna
- economy: Muda zaidi ya wiki 3 (Huweza chukua hadi wiki 5)
- Standard: muda chini ya wiki tatu.&
- Express - Muda chini ya siku 10

Vipi usafirishaji wa bidhaa kwa ebay na amazon huchukua muda gani ukilinganisha na aliexpress?
 
Hutegena njia ya usafirishaji ambayo muuzaji husika anaitumia

Kuna
- economy: Muda zaidi ya wiki 3 (Huweza chukua hadi wiki 5)
- Standard: muda chini ya wiki tatu.&
- Express - Muda chini ya siku 10
Asante
 
EBAY/AMAZON ndio wanakufanyia refund. Iwapo utafungua case, Hata kama ulisha ulisha pokea mzigo na kuthibitisha kuwa ulipokea mzigo ila baada ya muda ukatamba kuwa ni fake au una kasoro.

Iwapo utatumia taratibu sahihi za manunuzi, bado uko salama na fedha yako inarudishwa.

Muuzaji anaweza kuwa na feedback mbili tu na ikawa inaonyesha rep. ni asilimia 100%
Kinachotakiwa angalia idadi ya positive and negative reviews
Angalia kama amewekewa logo ya Top rated seller.
Tembelea store yake hakiki bei ya bidhaa zingine, Je bei zina uhalisia ukilinganisha na site zingine kama amazon au bestbuy etl, ndipo fanya manunuzi.

Mfano unaona wazi laptop ya USD900 imeandikwa USD 130 na wewe unaaamua kununua, hapo ni kujitafutia usumbufu usio wa lazima.

Njia salama ya kufanya malipo ni kutumia Paypal, alipay, amazon pay na sio matumizi ya card direct. (Jpokuwa zipo site salama za kutumia card direct)

Sites zote ebay, amazon ni salama kwa asilimia 100, Kinachotakiwa ni mnunuzi kuwa na ABCs za vitu vya kuzingatia kabla ya kufanya manunuzi ya bidhaa husika.

Ila zipo njia za kufikisha mzigo hapa Tanzania toka hizo site husika

Ref
Ulicho onge ni kweli japo mm siipendi amoz kwasababu wao kwa africa wana ship Southafrica tu,

Pia amozon ni wamarekani zaidi,

MM nimefanya na EBAY kwa miaka kumi sasa,wapo vizuri sana, vifaa nilivyo nunu kwa matumizi binafsi ni kama Sim,laptop dawa nguo viatu nk,

Maduka mengi ya EBAY wanaaccepty malipo kupitia njia mbali mbali moja wapo ikiwa PAYPAL ambayo mm hua naitumia

PAYPAL wanaact kama EPA(middle man) wao wanakaa na hela yako,tatizo likitokea wanarudisha hela yao kama ilivyo,
Kwasasa tangia aingie JOHN mambo ni magumu kidogo kwasababu kila bidhaa inayo zidi dola mia wanatoza kodi,
EBAY vitu ni bei nafuu sana,
Mfanao natumia samsung note 8 niliyo nunua kama used kwa DOLA 480,niliipata JAN 2018
Tatizo watu hawajui jinsi ya kuselect items,huwezi uakatufuta bidhaa za asia marekani then utegee uatpata kwa bei rahisi,mfano unataka kununua samsung toka UK au Marekani,lazima uone ni ghali sana,ila ukinunua toka Korea rahisi sana,,,
Pia kuchagua ije kwanijia gani,
the fastest ni DHL siku mbili mpaka Tano toka Ulaya
USPS ni seven days wengini hadi mwezi
Ushauri usinunu kitu toka CHina kwa kuangalia picha
 
Ukiwa Kama ni mtumiaji wa EBAY/ PAYAPAL:

Je wajua kuwa una siku zisizozidi 180 (Miezi sita) kudai fedha yako na EBAY/ PAYPAL wakakurudishia??

Je unajua nini unatakiwa ufanye pindi ununuapo bidhaa na bidhaa haijakufikia ( hapa wewe umetumia neno kupigwa) ??

Je wajua kwa AMAZON/ EBAY waweza nunua bidhaa ukapokea, bidhaa yako vizuri tu, ila ukaamua kuomba refund na ukapewa?? JE UNADHANI NI KWA NINI?? amazon/EBAY wana huo utaratibu??

Naendelea kusisitiza EBAY/ AMAZON zote ni salama, Tatizo liko kwa watumiaji wa mitandao husika.

Site zote EBAY/AMAZON zina mifumo salama ya kuhakikisha mteja anakuwa salama, Na mteja anaridhika kwa huduma anayoipata EBAY/AMAZON.

nakuunga mkono kwa 100%

Cha msingi ni kwa wana JF kufuata ushauri elekezi wako mzuri na ulioshiba maelezo ya kutosha.
 
Vipi kuhusu mzee mzima kupatana.com !? Maana nahisi ni genge la wahuni!![emoji21]
kupatana si genge la wahuni ama matapeli kikubwa ni kufuata sheria na taratibu zilizo bainishwa ikiwa si kutuma hela kwa muuzaji kabla yakuuona mzigo na kuukagua na kujiridhisha nao, ukifanya hivyo utakuwa salama kwa asilimia kubwa sana
 
Uko sahihi,mara 2 nimeagiza vitu kupitia Kikuu from China havifanani na nilichoona kwenye picha.
Ulicho onge ni kweli japo mm siipendi amoz kwasababu wao kwa africa wana ship Southafrica tu,

Pia amozon ni wamarekani zaidi,

MM nimefanya na EBAY kwa miaka kumi sasa,wapo vizuri sana, vifaa nilivyo nunu kwa matumizi binafsi ni kama Sim,laptop dawa nguo viatu nk,

Maduka mengi ya EBAY wanaaccepty malipo kupitia njia mbali mbali moja wapo ikiwa PAYPAL ambayo mm hua naitumia

PAYPAL wanaact kama EPA(middle man) wao wanakaa na hela yako,tatizo likitokea wanarudisha hela yao kama ilivyo,
Kwasasa tangia aingie JOHN mambo ni magumu kidogo kwasababu kila bidhaa inayo zidi dola mia wanatoza kodi,
EBAY vitu ni bei nafuu sana,
Mfanao natumia samsung note 8 niliyo nunua kama used kwa DOLA 480,niliipata JAN 2018
Tatizo watu hawajui jinsi ya kuselect items,huwezi uakatufuta bidhaa za asia marekani then utegee uatpata kwa bei rahisi,mfano unataka kununua samsung toka UK au Marekani,lazima uone ni ghali sana,ila ukinunua toka Korea rahisi sana,,,
Pia kuchagua ije kwanijia gani,
the fastest ni DHL siku mbili mpaka Tano toka Ulaya
USPS ni seven days wengini hadi mwezi
Ushauri usinunu kitu toka CHina kwa kuangalia picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom