Tofauti ya vitabu vya MEP na TIE

Tofauti ya vitabu vya MEP na TIE

mshipa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
12,253
Reaction score
22,843
Habari za asubuhi wanajukwaa,

Naomba kujua tofauti ya vitabu tajwa hapo juu maana naona kuna shule hasa hizi za English Medium zinatumia vitabu vya MEP kufundishia na zingine zinatumia vitabu vya TIE kufundishia.

Kwa mfano mwanangu alikuwa anasoma shule flani (ameshamaliza)na walikuwa wanaasisitiza tumnunulie mtoto vitabu vya MEP, sasa vile vitabu nilitarajia mdogo wake (anasoma shule tofauti na aliyosoma kaka yake) atakuja kuvitumia sitanunua tena vitabu vingine sasa hii shule wao wanasema wanatumia vitabu vya TIE kufundishia watoto.

Mi naona wananichanganya tu maana vitabu vyote hivi vimeruhusiwa kufundishia sasa sijui tofauti yake ni nini?

Kwanini wengine MEP na wengine TIE?
 
Habari za asubuhi wanajukwaa,

Naomba kujua tofauti ya vitabu tajwa hapo juu maana naona kuna shule hasa hizi za English Medium zinatumia vitabu vya MEP kufundishia na zingine zinatumia vitabu vya TIE kufundishia

Kwa mfano mwanangu alikuwa anasoma shule flani (ameshamaliza)na walikuwa wanaasisitiza tumnunulie mtoto vitabu vya MEP, sasa vile vitabu nilitarajia mdogo wake (anasoma shule tofauti na aliyosoma kaka yake) atakuja kuvitumia sitanunua tena vitabu vingine sasa hii shule wao wanasema wanatumia vitabu vya TIE kufundishia watoto.
Mi naona wananichanganya tu maana vitabu vyote hivi vimeruhusiwa kufundishia sasa sijui tofauti yake ni nini?

Kwanini wengine MEP na wengine TIE?
Ukiweza mpe vyote kwa kutanua wigo TIE kidogo viko ......ukichanganya mtoto anatanua wigo....hata vile vya Review ni vizuri pia.....
 
MEP ni kampuni binafsi, TIE vinatolewa na serikali

Vitabu binafsi huwa vina maelezo mengi, lakini TIE vinafuata syllabus kama ilivyo, ni kama vinatoa muongozo fulani

Hakuna vitabu sahihi mkuu, kila kitabu kina ubora na mapungufu yake

Kwani lazima ununue vitabu?

Mbona wengine tumepiga english medium bila vitabu? unatishiwa tishiwa tu ila sio kesi
 
MEP ni kampuni binafsi, TIE vinatolewa na serikali

Vitabu binafsi huwa vina maelezo mengi, lakini TIE vinafuata syllabus kama ilivyo, ni kama vinatoa muongozo fulani

Hakuna vitabu sahihi mkuu, kila kitabu kina ubora na mapungufu yake

Kwani lazima ununue vitabu?

Mbona wengine tumepiga english medium bila vitabu? unatishiwa tishiwa tu ila sio kesi
Asante, wanasema mtoto lazima awe na vitabu vya masomo yote mkuu
 
Ukiweza mpe vyote kwa kutanua wigo TIE kidogo viko ......ukichanganya mtoto anatanua wigo....hata vile vya Review ni vizuri pia.....
Sawa mzee
 
Back
Top Bottom