nipo bishanga kuna mahali naenda kuna mbuzi naenda kumchinja mahali ana nyama kweli nashukuru kwa uzi huu itabidi nimle kama mwanamke na sio msichana...... thax the boss kwaherinihalafu The Boss,mwambie Bebii leo ama zake ama zangu popote pale nitakapomkuta.
Mkuu inabidi uhame hapo, unaweza kuta kizee kinamlia nyeto hadi mamsapu wako aiseeNaunga mkono hoja, kuna kazee hapa kitaa kako kama 55 kakiona mwanamke mrembo kakatiza tu basi kanaaga kijiwe na kanasema laivu "naenda kumlia nyeto, kulaleki" , haka ni kavulana tu labda katakuwa kanaume kakiingia kaburini.
Kamanda, TF ni Boyz II MenBebii,hivi TF ni mvulana au mwanume?
By the way kesho naruka na uzi wa...'tofauti ya msichana na mwanamke....
Kwa kuanzia:
msichana Bishanga nikimpiga kamilioni breki ya kwanza SH Amon kununua vipodozi,mwanamke atawekeza kwenye kakiwanja hata kama ni Chanika Mvita...
....itaendelea
nakufata huko huko.....nipo bishanga kuna mahali naenda kuna mbuzi naenda kumchinja mahali ana nyama kweli nashukuru kwa uzi huu itabidi nimle kama mwanamke na sio msichana...... thax the boss kwaherini
mmmhhh majibu hayo kakupa nani Babii,Sl au Hus? maana anawachanganya wote,halafu nao sijui wakoje yaani!Kamanda, TF ni Boyz II Men
Anaswing kulingana na demand.... he is the balance of nature
mmmhhh majibu hayo kakupa nani Babii,Sl au Hus? maana anawachanganya wote,halafu nao sijui wakoje yaani!
Yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaboss yasemekana wewe ni bingwa wa ku pm wadada humu ndani hiyo inakuweka kwenye uvulana zaidi haujatulia kabisaaaaa
Uko sawa kabisa!Ila ingependeza pia tungepata tofauti kati ya MSICHANA na MWANAMKE.
tough times dont last....tough men do ....