hiram
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 266
- 393
Tarehe 23 June mwaka huu Taifa Stars itaumana na Senegal nchini Misri kwenye Michuano ya Afcon 2019 zifuatazo ni tofauti kati ya timu hizo
1. Wakati Tanzania wanajivunia kufikisha alama 18 kwenye Ranking za mashindano Caf ambapo mwakani wataingiza timu NNE, Wenzetu Senegal wanajivunia kuwa wa kwanza AFRICA kwenye RANKING za FIFA yaani washaachana na ushamba wa kupeleka timu nne hawana point hata moja kwenye 5-year caf Ranking hivyo wataendelea kuingiza klabu moja moja kwenye mashindano ya Caf kwa kuwa vijana wao wanatafuta kuonekana Ulaya wakati sisi tuna ddream za kuchezea Mazembe
2. Stars inafuzu kwa mara ya pili tangu 1980 na sasa 2018 wakati Senegal imeshiriki mara 14 ikitinga robo fainali mara tano na nusu fainali mara nne na fainali mara moja
3. wa tanzania wanaocheza nje ya nchi ni
https://us.soccerway.com/players/players_abroad/tanzania/
wasenegali ni kama wooote
https://us.soccerway.com/players/players_abroad/senegal/
kwa leo naishia hapo
1. Wakati Tanzania wanajivunia kufikisha alama 18 kwenye Ranking za mashindano Caf ambapo mwakani wataingiza timu NNE, Wenzetu Senegal wanajivunia kuwa wa kwanza AFRICA kwenye RANKING za FIFA yaani washaachana na ushamba wa kupeleka timu nne hawana point hata moja kwenye 5-year caf Ranking hivyo wataendelea kuingiza klabu moja moja kwenye mashindano ya Caf kwa kuwa vijana wao wanatafuta kuonekana Ulaya wakati sisi tuna ddream za kuchezea Mazembe
2. Stars inafuzu kwa mara ya pili tangu 1980 na sasa 2018 wakati Senegal imeshiriki mara 14 ikitinga robo fainali mara tano na nusu fainali mara nne na fainali mara moja
3. wa tanzania wanaocheza nje ya nchi ni
https://us.soccerway.com/players/players_abroad/tanzania/
wasenegali ni kama wooote
https://us.soccerway.com/players/players_abroad/senegal/
kwa leo naishia hapo