lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Mataga ndio watu ambao hawana ufahamu kabisa kwa mambo ya uchambuzi wa siasa za Tanzania na Afrika.
Wakati wa Lowassa utawala wa Kikwete ulirihusu vyama kufanya siasa kwa Uhuru na uwazi kiasi tofauti na Jiwe ambae amezuia kabisa siasa kwa miaka mitano huku yeye na wapambe wake wakitamba.
Amezuia TV,magazeti,Redio na hata mitandao ya kijamii kutangaza habari za vyama vingine mbali ya CCM.
Magazeti na Redio yaliyoonekana kwenda kinyume na yalifungiwa.
Wakati wa Kikwete haikua hivyo kwa Sana.
Hapo ndipo vyama vilipata nafasi ya kujijenga,hususan Chadema.
CDM ilijijenga kwa operational mbalimbali hasa maarufu operation Sangara.
Hakukua na sheria kandamizi kuzuia kuunganisha vyama.
Kwa machache hayo
Lowassa alifaidika na muungano wa UKAWA .
Lowassa aliikuta CDM iko juu na imara Sana,kwa kifupi CDM ilimbeba Lowassa na baadae UKAWA.
Hata hivyo Lowassa alikuja na wafuasi wake alitoka nao Huko CCM.
Akaikuta Chadema iko juu hatari,wakati huohuo akapata Watu toka CUF,NCCR na hata NLD.
Lowassa alikuja na hela zake alizokua amejiaandaa kugombea Kama angepitishwa huko CCM.
Sasa tuje kwa Lissu
Lissu anagombea katika kipindi kigumu Sana,
Miaka mitano CDM na vyama vingine vimekua jela,havikupata nafasi ya kukitangaza Wala kujijenga,
Wafuasi wao wameishi kwa hofu,ukioneka unasapoti Upinzani na hasa CDM utakiona Cha Moto,hivyo watu walogopa kukitokeza,
VIONGOZi wa Upinzani kukamatwa na kushitajiwa,
Mali zao kuvulugwa kwa mfano Mbowe na biashara zake,
Lissu kuwa mwanasiasa aliyekamatwa kuliko mtu yeyete Tanzania,
Lissu kuuwawa lakini akafufukia Nairobi na Belgium,
Hizo ndio tofauti chache za Lowassa na Lissu.
Hata hivyo Lissu licha ya kwamba Kampeni zake hazitangazwi tofauti na zama za Lowasaa lakini Bado mikutano ya Lissu inajaza watu Sana,na kadri siku zinavyo kwenda watu uoga ndio unazidi kuwatoka.
Watu wa Lissu hawatokani na Ukawa,Bali Ni Watanzania.
Lisu Ni mpinzani halisi,
Lissu Ni mpigania Haki toka kuzaliwa,
Kufanya siasa kipindi hiki Ni kujitoa sadaka,Lisu kajitoa sadaka.
Watu wa Lissu Ni wengi kuliko wa Lowassa,kwa sababu Hawa Ni wale hawana Cha kupoteza,kwani hata wakifahamika Jiwe Hana Cha kuwafanya,wafuasi wengi wa Lissu wako majumbani wanaogopa kuonekana hadharani,kwa sababu Utawala huu Ni utawala wa visasi.
Mataga jifunzeni kutofautisha nyakati.
Chagua Lissu na mbunge wa CHADEMA na Diwani wa CHADEMA ili Lissu aunde Seikali huru.
Wakati wa Lowassa utawala wa Kikwete ulirihusu vyama kufanya siasa kwa Uhuru na uwazi kiasi tofauti na Jiwe ambae amezuia kabisa siasa kwa miaka mitano huku yeye na wapambe wake wakitamba.
Amezuia TV,magazeti,Redio na hata mitandao ya kijamii kutangaza habari za vyama vingine mbali ya CCM.
Magazeti na Redio yaliyoonekana kwenda kinyume na yalifungiwa.
Wakati wa Kikwete haikua hivyo kwa Sana.
Hapo ndipo vyama vilipata nafasi ya kujijenga,hususan Chadema.
CDM ilijijenga kwa operational mbalimbali hasa maarufu operation Sangara.
Hakukua na sheria kandamizi kuzuia kuunganisha vyama.
Kwa machache hayo
Lowassa alifaidika na muungano wa UKAWA .
Lowassa aliikuta CDM iko juu na imara Sana,kwa kifupi CDM ilimbeba Lowassa na baadae UKAWA.
Hata hivyo Lowassa alikuja na wafuasi wake alitoka nao Huko CCM.
Akaikuta Chadema iko juu hatari,wakati huohuo akapata Watu toka CUF,NCCR na hata NLD.
Lowassa alikuja na hela zake alizokua amejiaandaa kugombea Kama angepitishwa huko CCM.
Sasa tuje kwa Lissu
Lissu anagombea katika kipindi kigumu Sana,
Miaka mitano CDM na vyama vingine vimekua jela,havikupata nafasi ya kukitangaza Wala kujijenga,
Wafuasi wao wameishi kwa hofu,ukioneka unasapoti Upinzani na hasa CDM utakiona Cha Moto,hivyo watu walogopa kukitokeza,
VIONGOZi wa Upinzani kukamatwa na kushitajiwa,
Mali zao kuvulugwa kwa mfano Mbowe na biashara zake,
Lissu kuwa mwanasiasa aliyekamatwa kuliko mtu yeyete Tanzania,
Lissu kuuwawa lakini akafufukia Nairobi na Belgium,
Hizo ndio tofauti chache za Lowassa na Lissu.
Hata hivyo Lissu licha ya kwamba Kampeni zake hazitangazwi tofauti na zama za Lowasaa lakini Bado mikutano ya Lissu inajaza watu Sana,na kadri siku zinavyo kwenda watu uoga ndio unazidi kuwatoka.
Watu wa Lissu hawatokani na Ukawa,Bali Ni Watanzania.
Lisu Ni mpinzani halisi,
Lissu Ni mpigania Haki toka kuzaliwa,
Kufanya siasa kipindi hiki Ni kujitoa sadaka,Lisu kajitoa sadaka.
Watu wa Lissu Ni wengi kuliko wa Lowassa,kwa sababu Hawa Ni wale hawana Cha kupoteza,kwani hata wakifahamika Jiwe Hana Cha kuwafanya,wafuasi wengi wa Lissu wako majumbani wanaogopa kuonekana hadharani,kwa sababu Utawala huu Ni utawala wa visasi.
Mataga jifunzeni kutofautisha nyakati.
Chagua Lissu na mbunge wa CHADEMA na Diwani wa CHADEMA ili Lissu aunde Seikali huru.