RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
- Thread starter
-
- #21
Yes, huo mchezo ni mwingi saana. Na shida ni kwamba mtu akisikia Lexus anakuwa teyari kutoa pesa nyingi, kuliko HarrierSasa nmeelewa Kitu..juz kati mitaa flan Kariakoo....c nikaona Harrier imebandikwa Logo ya Lexus kwa nyuma na mbele..kumbe Mzee Mushi aliuziwa Harrier na sio Lexus kama ilivyo kwenye Logo....
Kadi ya gari inaandikwa gari husika. Sababu hizo specs zinazoandikwa kwenye kadi huwezi kuwadanganya wale Wajapan wanaofanya inspection. Ila kutokana na uelewa mdogo, au kutojali, mtu anaambiwa hii ni Harrier Lexus anakubali, vile anaona kadi ina Harrier, ila gari lina Lexus. Hawezi kuwaza kuwa hizo badges zipo madukani zinauzwa.Kwani kadi ya gari inakua imeandikwaje mkuu.?Toyota harrier au Lexus RX.
Point ya kuuliza hili swali nikujua kwanini wanunuzi wasisome kadi ilivyoandikwa?
Basi kumbe shida yao ni elimu ndogo kuhusu magari nilidhani mpk kadi ya gari wanaichakachua,naona hata hizi harrier za 3.0 zinachakachuliwa inabandikwa 2.4 pale nyuma na watu wanaingia mkenge tu.Kadi ya gari inaandikwa gari husika. Sababu hizo specs zinazoandikwa kwenye kadi huwezi kuwadanganya wale Wajapan wanaofanya inspection. Ila kutokana na uelewa mdogo, au kutojali, mtu anaambiwa hii ni Harrier Lexus anakubali, vile anaona kadi ina Harrier, ila gari lina Lexus. Hawezi kuwaza kuwa hizo badges zipo madukani zinauzwa.
Lakini nadhani ni hulka ya wabongo pia kupenda kuweka Hizo logos maana altezza kibao hapa mjini wameweka logo za Lexus is 200,wengine wana benz za kawaida ila wameweka logo ya AMG,kuna wenye bimmer za kawaida tu 3/5 series wanaweka logo ile Ya M3/M5 mpk nyingine bmw nilikuta imewekwa logo ya ALPINA.Yes, huo mchezo ni mwingi saana. Na shida ni kwamba mtu akisikia Lexus anakuwa teyari kutoa pesa nyingi, kuliko Harrier
Kabisa. Huo mchezo ni mwingi. Hata kwenye Brevis na Crown wanafanyaBasi kumbe shida yao ni elimu ndogo kuhusu magari nilidhani mpk kadi ya gari wanaichakachua,naona hata hizi harrier za 3.0 zinachakachuliwa inabandikwa 2.4 pale nyuma na watu wanaingia mkenge tu.
Very true. Na pia wakati mwingine inakuwa na both KPH na MPHKwenye Speed O meter Harrier ina speed 180 wakati Lexus yenyewe ni 220, pia pale inapoonesha KM iliotembea kwenye gari kwenye Lexus imeongezea inaonesha na Fuel Consumption KM/L
Yes. Juzi nimekutana na Noah ina label ya LexusLakini nadhani ni hulka ya wabongo pia kupenda kuweka Hizo logos maana altezza kibao hapa mjini wameweka logo za Lexus is 200,wengine wana benz za kawaida ila wameweka logo ya AMG,kuna wenye bimmer za kawaida tu 3/5 series wanaweka logo ile Ya M3/M5 mpk nyingine bmw nilikuta imewekwa logo ya ALPINA.
Kuna utofauti mkuu, japo mpaka model ya 2007 au 2008. Baada ya hapo Lexus RX ilianza kuwa tofauti kabisa maana Lexus ilianza kuuzwa Japan. Fuatilia vizuri. Mfano hakuna Lexus Is yenye 3sge. Hiyo ilifungwa kwenye Altezza RS tu. Lexus IS ina 1G na 2JZ. Ukikuta ina 3S basi imekuwa modified.hizi gari ni sawa kabisa jamani ni nembo tu..kuna harrier za 3gr 3.5
na kuna lexus za 2az...hata ulaya zipo lexus rx za 2az
inatakiwa mfahamu tu kwamba lexus ni toyota inayouzwa ulaya na america ya kaskazini..
zipo altezza za 2jz
na altezza lexus ya 3sge
ok ok lakin lexus zenye 3sge ni manual gearKuna utofauti mkuu, japo mpaka model ya 2007 au 2008. Baada ya hapo Lexus RX ilianza kuwa tofauti kabisa maana Lexus ilianza kuuzwa Japan. Fuatilia vizuri. Mfano hakuna Lexus Is yenye 3sge. Hiyo ilifungwa kwenye Altezza RS tu. Lexus IS ina 1G na 2JZ. Ukikuta ina 3S basi imekuwa modified.
Hehehee. Ni vizuri kujua. Maana kesho kutwa unaweza hamia pengine.Mimi sijui chochote nimezoea vits
Teh teh majuzi pia nimeona picha ya starlet ikiwa na label ya lexus pia.Yes. Juzi nimekutana na Noah ina label ya Lexus
Hehehee. Hiyo kali. Na kuna mtu atajaa tu hapo.Teh teh majuzi pia nimeona picha ya starlet ikiwa na label ya lexus pia.
Tunakoelekea utakuja kuta hata Duet LexusTeh teh majuzi pia nimeona picha ya starlet ikiwa na label ya lexus pia.