Hahah we jamaa umeua aisee.Tunakoelekea utakuja kuta hata Duet Lexus
Sure,ni premium version yake.Naweza kusema Lexus ni laxury version of Toyota.
Kabisa mkuuKwa hiyo kabla ya kununua jamii hiyo ya magari yatupasa kuwa wadadisi sana eehh..
Kabisa. Mwanzo zilikuwa ni model zile zile za Toyota ila zinawekewa some luxury features. Ila siku hizi kuna baadhi ya models wanatengeneza ambazo zinajitegemea, mfano hiyo RX. Sasa hivi haiko based kwenye models za Toyota.Naweza kusema Lexus ni laxury version of Toyota.
HeheheeTunakoelekea utakuja kuta hata Duet Lexus
Na Lexus RX karibia zote zina CRUISE CONTROL wakati Toyota harrier hazina hicho kituUkiangalia kwenye steering wheel kuna alama ya L, kwenye rims, kuna alama ya L, ukifungua mlango kumeandikwa Lexus, pia navigation screen, radio na button zote hapo mbele zinaandikwa kwa Kiingereza. Ukikuta Kijapani basi jua hiyo ni Harrier.
Kwani hizo logo zinauzwa kariakoo?Lakini nadhani ni hulka ya wabongo pia kupenda kuweka Hizo logos maana altezza kibao hapa mjini wameweka logo za Lexus is 200,wengine wana benz za kawaida ila wameweka logo ya AMG,kuna wenye bimmer za kawaida tu 3/5 series wanaweka logo ile Ya M3/M5 mpk nyingine bmw nilikuta imewekwa logo ya ALPINA.
Ndio zinauzwa mkuuKwani hizo logo zinauzwa kariakoo?
Yes hata ukitaka kuweka tuherufi pale nyuma pasomeke D.I.A.N.AKwani hizo logo zinauzwa kariakoo?
Ni kweli. RX cruise control ni standard nafikiri kwa zote.Na Lexus RX karibia zote zina CRUISE CONTROL wakati Toyota harrier hazina hicho kitu
Mitaa gani? Ni Bei?Ndio zinauzwa mkuu
Waoow!Yes hata ukitaka kuweka tuherufi pale nyuma pasomeke D.I.A.N.A
Waoow!