Tofuti kati ya Toyota Harrier na Lexus RX

Naweza kusema Lexus ni laxury version of Toyota.
Kabisa. Mwanzo zilikuwa ni model zile zile za Toyota ila zinawekewa some luxury features. Ila siku hizi kuna baadhi ya models wanatengeneza ambazo zinajitegemea, mfano hiyo RX. Sasa hivi haiko based kwenye models za Toyota.
 
Ukiangalia kwenye steering wheel kuna alama ya L, kwenye rims, kuna alama ya L, ukifungua mlango kumeandikwa Lexus, pia navigation screen, radio na button zote hapo mbele zinaandikwa kwa Kiingereza. Ukikuta Kijapani basi jua hiyo ni Harrier.
Na Lexus RX karibia zote zina CRUISE CONTROL wakati Toyota harrier hazina hicho kitu
 
Kwani hizo logo zinauzwa kariakoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…