Togo National Team Shot in Ambush, what's their fate?

Togo National Team Shot in Ambush, what's their fate?

MTM,
Mkuu kwani watasafiri na ndege hadi hotelini wanamolala? ama kule stadium watakopuwa wanacheza?

Ishu ya usalama CABINDA imekuwa noma, hatujui jamaa watashambulia saangapi, mahali gani na kwa staili gani!!. Inaelekea wakati serikali ya Anagola ilipokuwa bize inajiandaa ku-host AFCON wale jamaa wao walikuwa bize wanajiandaa ku-sabotage kwa hio trust no one, betta run home quick Adebayo!!!.

Nijuavyo mimi, ambush za namna ile huwa ngumu kwenye miji kwasababu ya security level na maandalizi ya taack, na jamaa walishambuliwa wakiwa maeneo si mbali na boder; kumbuka security transition kutoka force moja kwenda nyingine kokote duniani huwa ni very risk and difficult

Nadhani dawa yake ni kuhamisha tu mechi zote za CABINDA kuzipeleka mji mwingine...
 
Ubahili mwingine bana.....lakini you kind of understand how the players minds are screwed up after that shooting incident, sidhani hata kama wangecheza wangefika mbali.

Mkuu experience ya ambush haina mfano... Togo hawawezi kabisa kufanya vizuri hasa ukizingatia kuna mtu wao ameuawa... Nimesoma kwenye soccernet Adebayor anazungumzia jinsi mchezaji wao aliyepigwa risasi alivyokuwa analia na hali ilivyokuwa, mtu inakuwa ngumu sana hata kufanya mazoezi properly

Kujitoa kwao si jambo la kushangaza, ni basi tu kwamba labda wangetumia ndege kama hayatou alivyosema ingepunguza risk

sijui nani atawareplace?
 
Nijuavyo mimi, ambush za namna ile huwa ngumu kwenye miji kwasababu ya security level na maandalizi ya taack, na jamaa walishambuliwa wakiwa maeneo si mbali na boder; kumbuka security transition kutoka force moja kwenda nyingine kokote duniani huwa ni very risk and difficult

Nadhani dawa yake ni kuhamisha tu mechi zote za CABINDA kuzipeleka mji mwingine...

Suicide bombers have no borders!!! tusidhani staili hii ni kwa aajili ya middle East tu...

Sasa hivi waliokufa wameshafikia watu watatu. Kuna dalili ya nchi nyingine kugoma/kujitoa pia.
 
Suicide bombers have no borders!!! tusidhani staili hii ni kwa aajili ya middle East tu...

Sasa hivi waliokufa wameshafikia watu watatu. Kuna dalili ya nchi nyingine kugoma/kujitoa pia.

Ni kweli kabisa... sasa ungekuwa wewe ungeshauri nini?
Unaunga mkono hawa Togo kwenda kwa basi?
Unataka mashindano yafutwe?
Je should we continue with business as usual au tujifungie na kuomba mungu?

Au ungefanya nini? maana naona kama umeiweka to the extreme na hii ndiyo image inayotengenezwa na western media na lengo ni kuipiga vita south africa 2010...

I know its hard but what is your idea??

Kumbuka kuna wakati nadhani ni olympic ilifanyika ujeruma na siege ikatokea na wayahudi kibao waliuawa, je michezo ilisitishwa?

Dawa ni kuongeza security na intelligence pia kutoka kwa nchi nyingine na kuomba suluhu na hao rebels japo kwa muda huu muhimu

kuna article nzuri sana leo kwenye guardian inazungumzia namna ambavyo michezo inaweza kuepusha vita na uvunjifu wa amani na wamechukua ivory coast, sierra leone na nchi nyingine kama mfano

Lets think and wish positively its happening in Africa and always yakitokea africa ndio mabaya mno kwa western media
 
hivi wenzi wao akina drogba waliokuja kujikalia bongo mpaka siku imekaribia wakaamua kuruka na ndege wanawaona wajinga? Wanafikiri magaidi wana-mind soka? wameyataka hawa FA wao
 
Nina imani nililielewa vyema tu somo la Jiografia darasa la nne....na vile vile somo la siasa a.k.a uraia hadi darasa la saba. Unasafiri vipi kwa basi kutoka Togo hadi Angola? Tena hii Africa yetu!?! Yaliyowakuta sio ya kuyaombea lakini lesson learned....na watusubiri sisi tu tutinge kwenye hicho kinyang'anyiro....tunatia timu na Golfstream ya Prezidaa....maana naona muheshimiwa kapunguza safari na mashine imetulia terminal ya zamani inafutwafutwa vumbi tu pale. 😀
 
MTM,
Mkuu kwani watasafiri na ndege hadi hotelini wanamolala? ama kule stadium watakopuwa wanacheza?

Ishu ya usalama CABINDA imekuwa noma, hatujui jamaa watashambulia saangapi, mahali gani na kwa staili gani!!. Inaelekea wakati serikali ya Anagola ilipokuwa bize inajiandaa ku-host AFCON wale jamaa wao walikuwa bize wanajiandaa ku-sabotage kwa hio trust no one, betta run home quick Adebayo!!!.

Hali sasa ishakuwa mbaya, jamaa wameua kocha msaidizi na press attache'; na kipa wa akiba amejeruhiwa vibaya na kocha amepigwa risasi ya mkono

kweli this is really sad day for ACN
 
Bora warudi tu nyumbani Togo. My thoughts go to th family of th bus driver.

Halafu haya mazungu na ma-media yao ambayo yamezoea kuandika habar mbaya kuhusu Africa yanatakiwa yakae mbali na hili swala.

Maana wengine wamefika mbali na kusema eti hata world cup SA iangaliwe upya. Usalama eti hauja2lia Africa. Kocha wa Hull ndo alikua akisema hivyo. Wtf!

CAN inauhusiano gani na World Cup Angola!
Ukisoma Soccernet.com makocha wengi wa English Premier League wanataka CAN iwe-cancelled. Unajua hawa wanapinga timing ya hii CAN coz wanapoteza players wao kwa mwez 1. So hizi chokox2 ni kwa kua 2 wanataka wachezaji wao warud ktk club zao. They better stay away 4m our affairs. We cant wait to watch our stars in our own land.
And we know what we have to do to prevent such things 4m happening again, STEPPING UP SECURITY.
 
Unasafiri vipi kwa basi kutoka Togo hadi Angola? Tena hii Africa yetu!?! Yaliyowakuta sio ya kuyaombea lakini lesson learned..... 😀
Mhhhh....mwanangu hapo kwenye redi umeamua kuongeza chumvi au uko misinformed tu? Kwa kukusaidia ni kwamba jamaa walikua wakitokea Republic of Congo kwenda Angola which is like, lets say-Kenya to Tanzania lakini walipoingia tu Namanga(Cabinda in this case) ndo yakawasibu hayo yaliyojiri.
 
hii inasikitisha sana kusema na wakulaumiwa ni Caf kwa kuchagua Angola nchi ambayo kuna machafuko.na breaking news hapa naona wachezaji wawili wale wamefariki kati ya waliopigwa risasi.sad day for football,sad day for Africa in football world.matukio haya yanajenga picha mbaya kwenye ulimwengu wa soka ukizingatia tunaelekea world cup south africa.
 
...'Opportunists' hujaribu kila njia kutishia amani pale macho na maskio ya dunia yanapokuwa yameelekezwa sehemu fulani.

Matukio kama kuhamisha Paris- Dakar Rally, ni kuwapa bichwa tu hawa 'magaidi' wa mitutu na wa kalamu.

Togo, au washiriki wengine wa Africa Cup of Nations wakijitoa, itakuwa ni ushindi kwa terrorists na European press kuonyesha Afrika haifai ku host mashindano ya aina yeyote.
 
...'Opportunists' hujaribu kila njia kutishia amani pale macho na maskio ya dunia yanapokuwa yameelekezwa sehemu fulani.

Matukio kama kuhamisha Paris- Dakar Rally, ni kuwapa bichwa tu hawa 'magaidi' wa mitutu na wa kalamu.

Togo, au washiriki wengine wa Africa Cup of Nations wakijitoa, itakuwa ni ushindi kwa terrorists na European press kuonyesha Afrika haifai ku host mashindano ya aina yeyote.

mkuu, kwa waliyoshuhudia, its ok wakijitoa maana ilikuwa terror act, ila angeanguka mchezaji uwanjani, labda wangeendelea
 
Ni kweli kabisa... sasa ungekuwa wewe ungeshauri nini?
Unaunga mkono hawa Togo kwenda kwa basi?
Unataka mashindano yafutwe?
Je should we continue with business as usual au tujifungie na kuomba mungu?

Au ungefanya nini? maana naona kama umeiweka to the extreme na hii ndiyo image inayotengenezwa na western media na lengo ni kuipiga vita south africa 2010...

I know its hard but what is your idea??

Kumbuka kuna wakati nadhani ni olympic ilifanyika ujeruma na siege ikatokea na wayahudi kibao waliuawa, je michezo ilisitishwa?

Dawa ni kuongeza security na intelligence pia kutoka kwa nchi nyingine na kuomba suluhu na hao rebels japo kwa muda huu muhimu

kuna article nzuri sana leo kwenye guardian inazungumzia namna ambavyo michezo inaweza kuepusha vita na uvunjifu wa amani na wamechukua ivory coast, sierra leone na nchi nyingine kama mfano

Lets think and wish positively its happening in Africa and always yakitokea africa ndio mabaya mno kwa western media

Kwa kweli kama wenzangu niliotoka nao nchini mwangu ambao pia tuko pamoja katika msafara mmoja wameuliwa kwa kupigwa risasi ambazo pengine zingeweza kuniua mimi ni bora tu nikarudi nyumbani.

Sio siri serikali ya Angola ilifanya kosa kubwa sana kupeleka mashindano makubwa ya kimataifa kama CAN maeneo ambayo wanajua fika yana migogoro isiyokwisha ya kijeshi.

Hii ni sawa na Museveni kupeleka mashindano ya Challenge kule kaskazini kwa akina Joseph Kony unategemea nini hapo mzee?

Nalipenda sana Afrika bara langu na sipendi nikiona habari mbaya mbaya kwenye vyombo vya habari. Wacha mashindano yaendelee lakini tujue tu yashaingia nyongo na timu nyingine sasa zitakuwa na visingizio kibaooo pale zitakapofungwa...
 
Hivi kwanini ilichaguliwa Angola ku-host hii tournament?
 

Kwa kweli kama wenzangu niliotoka nao nchini mwangu ambao pia tuko pamoja katika msafara mmoja wameuliwa kwa kupigwa risasi ambazo pengine zingeweza kuniua mimi ni bora tu nikarudi nyumbani.

Sio siri serikali ya Angola ilifanya kosa kubwa sana kupeleka mashindano makubwa ya kimataifa kama CAN maeneo ambayo wanajua fika yana migogoro isiyokwisha ya kijeshi.

Hii ni sawa na Museveni kupeleka mashindano ya Challenge kule kaskazini kwa akina Joseph Kony unategemea nini hapo mzee?

Nalipenda sana Afrika bara langu na sipendi nikiona habari mbaya mbaya kwenye vyombo vya habari. Wacha mashindano yaendelee lakini tujue tu yashaingia nyongo na timu nyingine sasa zitakuwa na visingizio kibaooo pale zitakapofungwa...

You are right kabisa mazee, its just sad kuona mambo kama haya yanatokea!!! Jamaa wamemuua kipa wa Togo Kodjovi pichani kulia (soccernet)
kodjoviobilale20060623_275x155.jpg
 
Inauma sana kuona hii hali....sijasikia statement ya AU.......yaani hata maneno yameniishia.....Togo wana kila haki ku-call it off..........
 
...kwa hali hii na propaganda 'zinazoendelea', ...michuano ya kombe la dunia 2010 South Africa, yamo mashakani!
...boycotts hizoooo zinakuja!
 
Hivi kwanini ilichaguliwa Angola ku-host hii tournament?

I guess walihonga ili wachaguliwe wao. Wakulaumiwa hapa ni CAF ina maana hawakufanya security/threat assement au ndio yale mambo yetu waafrika ya kupuuzia vitu mpaka vitokee?

Media za ulaya zitakuwa na field day sasa especially zile nchi zilizoshindwa kwenye bid.
 
You are right kabisa mazee, its just sad kuona mambo kama haya yanatokea!!! Jamaa wamemuua kipa wa Togo Kodjovi pichani kulia (soccernet)
kodjoviobilale20060623_275x155.jpg

so so sad bwana mdogo wa watu kafa kwenye vita ya wengine!!
 
so so sad bwana mdogo wa watu kafa kwenye vita ya wengine!!

...bado yu hai jamani,

"He is conscious and in a stable condition," hilo ndilo la kumshukuru Mw'Mungu.

...mwenyezi Mungu ampe nafuu na umri mrefu zaidi.
 
Back
Top Bottom