Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Sky;
Nimeipenda hiyooo! Dah! Yaani unatutambia hapa kuwa weye umewapitishia hao woote?? Si kina aterere si kina habari no, hadi Afrika ya magharibi. Mbona hukumsema Muhaya, Mungoni, Mujaluo?? Hapo hata mmoja hakuwahi?? Pole, ila sijikati ng'ooo. Ka ni kukukosa wewe tu, acha nikukose. Nilio waonjesha, huwa wakinikuta wanataka kunikamata kwa nguvu nikawarudie.
Nlidhani mtaandamana wanawake kwa kunyimwa haki yenu ya kukeketwa ambayo pia ni mila yetu mnakimbilia kuulizia vya kiume!!
Kwahyo wewe ni govi?