High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Kuna jamaaa yangu jana kanipigia simu na kuniambia kuwa ana fangasi zinamsumbua na nnavyojua kuwa hajafanyiwa tohara nilamwambia kuwa kafanye tohara.
Je anaweza fanya tohara huku ana fangasi au apone kwanza fangasi ndio afanyiwe au anaweza fanya tu ?
Je anaweza fanya tohara huku ana fangasi au apone kwanza fangasi ndio afanyiwe au anaweza fanya tu ?