Kuna true story Moja nilishawahi kuisoma zamani, ikitokea South Africa...!
Jamaa alikua Handsome boy +Brother man, kazi yake ilikua kutoa Huduma ya ngono Kwa Wanawake singles, ama hata waliolewa, Yani unafanya booking, unalipia then jamaa anakupangia tarehe ya kuja kukupelekea moto...!
Alianza kidogo kidogo then Biashara yake ikakua, akawa busy Sana, akawa anaingiza pesa nyingi, angeweza kupeleka moto Kwa Wanawake 3 mpaka 5 kila siku, akaona haitoshi coz oda zilikua nyingi, ila Nguvu ya uume wake ukawa hauwezi kukidhi matakwa yake, alitaka Kwa siku agonge Wanawake wasiopungua 10...!
Akaanza kutumia Viagra, baada ya muda zikamsaidia kupiga kazi, ila baada ya miezi 6 akagundua Viagra pia hazifanyi kazi Vizuri, akaacha kumeza, akaanza kusafa Unga hafu anaunyunyiza kwenye Tundu la Uume ..!
Ilikua sekunde tu kitu kinasimama kama Chuma, Hiyo ndo ikawa style yake, Sasa angeweza kupeleka moto Kwa Nguvu zaidi...!
Ni baada ya miezi 3 tu anasema siku Hiyo uume ulisimama mpaka ukawa unauma, kafanya kazi yake kamaliza ila uume umesimama vile vile, Maumivu yakazidi akarudi home kwake, jaribu kutumia namna za kawaida kujisaidia lakini wapi, akaenda Hospital, wakamcheki then wakamwambia Kwa namna mishipa yake ya uume ilivyosimama, haiwezi kulala Tena...!
Na Kwa vile Maumivu ni Makali, salama yake ni kukata ile mishipa, uume ulale, ila ndo utalala Maisha...!
Nna wasiwasi na Ndugu yetu yasijekumkuta yaliyomkuta jamaa wa South Africa.