Toka amekuja zahera Yanga ametutia Gundu tu...

Toka amekuja zahera Yanga ametutia Gundu tu...

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Huyu jamaa ametutia gundu toka amekuja tz team ambazo zinakuja kucheza na simba tukizishabikia zinafungwa...hii ni kutokana na gundu lake.

Nashauri wana yanga kwa kuwa tumeusoma mchezo ili kuitia simba gundu ikija team nyingine hapa tuishabikie simba ili sasa ipate gundu ifungwe.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom