Toka amenitolea posa amebadilika sana

Iko hivi huyu kijana nimekutana naye nina kama mwezi na wiki

mwezi na wiki since first meeting na posa keshatoa 🙆🏻‍♂️

Mnakimbilia WAPI jipeni muda kufahamiana vizuri kwanza TABIA na Mambo mengine b'se NDOA ni swala sensitive Sana na sio kitu cha kukulupuka

Ndiyo maana NDOA za sikuhizi ni matatizo na hazidumu, b'se kuna hatua ambayo ni muhimu Sana watu wanaikimbia nayo ni 👉 maandalizi Ili kujenga msingi imara wa NDOA

Good preparations , good results and vice versa↩️
 
Namfahamu vizuri. Sio Mimi tu hata ndugu zangu wanamfahamu vizuri pia..yote Tisa, kumi ni staff mate na bro wangu.
 
Timu kataa ndoa watakesha kwq waganga leo
 
Ndiyo umekuja kunitangaza huku kwa sababu gani unanitia mashaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…