Zanzibar 2020 Toka CHADEMA ianzishwe haijawahi kuwa na ushawishi Zanzibar

KWA ATAKAYE IBA KURA BORA APATE UGONJWA WA UKICHAA MILELE MAANA WATU HAWA WANATUZUNGUSHA VICHWA SANA TUTAOMBA MASAADA SOUTH KOREA (WOTE HATUWEZI KUWA WATOTO) = MAANA WENGINE SIJUI WANAPAMBANA ILI IWEJE!?

NIKAMA MAWAZO AFADHALI KUELEKEA CHAMA KIMOJA CHA SIASA
 

Acha kuongea pumba ndugu
 
Kwani CCM mna ushawishi? bila Jeshi hamwezi kumaliza hata dk.2 kubabeki
 
Hata ccm haina ushawishi uliosawa katimka pande zote za muungano. Kumbuka ya tanu na asp
 
Hilo ndilo wahafidhina wa chama kile wasichokijua ama wanajisahaulisha!!
Walifikiri kukivunja CUF kutamdhoofisha, alipotangaza kuhamia ACT tu, watu mda huo huo walikuwa na nguo za zambarau 😀 ndio kwanzaaaa ngoma imezidi kunoga. Shusha tanga pandisha tanga wanasema!
 
Walifikiri kukivunja CUF kutamdhoofisha, alipotangaza kuhamia ACT tu, watu mda huo huo walikuwa na nguo za zambarau 😀 ndio kwanzaaaa ngoma imezidi kunoga. Shusha tanga pandisha tanga wanasema!
Na hapo ndipo "wahenga" wakaweka mpira kwapani kwa kuwapa red card wapinzani ili wajijengee uhalali wa kutawala tena!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…