Toka January mpaka leo hii ni member gani kakufurahisha na kukuvutia sana?

Toka January mpaka leo hii ni member gani kakufurahisha na kukuvutia sana?

Member wote wanaumuhimu. Kuna watu wapo kwa ajili ya kufurahisha, kufikirisha, kudokeza, kutia moyo, kuhabarisha, kuelimisha, kupiga bann, uchambuzi na wengine kuudhi Ila wote tuna belong ktk one large family ya JF.
Kila mtu ana umuhimu wake ktk nyanja fulani fulani. Wengine tuko general but uwepo wetu kuna watu wanaufurahia
 
Mbao za mawe
Bujibuji
Castr
Baba swalehe na wachekeshaji wengine wanaotuvunja mbavu humu.

Zito junior
Malcom lumumba
Habibu mwanga
Da`vinci
Lifecoded
Infantry soldier
Mshana jr
Bitoz na wengine wengi kule inteligence

Mwifwa
Hajar
Sky eclat hawana matata kabisa.

Nalendwa, Chinchila coat, Rebeca 83, Snow white, Heaven sent you know what I mean.
Na wengine wengi siwez kutaja wote.
 
Nikitaka kuandika wadada nitumie kigezo kipi jamanii.
Kuwapenda au kuwakubaliii...
Kwanza wadada wa juwaa la popoz wanaongoza nawa admire sana
Kisha wanafuata wote waliowahi kuni Quote
 
Back
Top Bottom