- Thread starter
- #21
Muadilifu kwenye kundi la wachafu ?
Dr slaa na wapuki ?
MWP,
Dr Slaa ni mchafu?
Ni nani aliye msafi CCM (weka EPA, Richmond, TRL, BoT, Dowans, Buzwagi, IPTL, Bulhanhulu, etc wakati ukijiandaa kujibu swali lako).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muadilifu kwenye kundi la wachafu ?
Dr slaa na wapuki ?
Dr. Wilbrod SlaaWana Chadema na Watanzania wasisikitike au kukata tamaa baadhi ya watu waliokuwa kwetu wanapoamua kuondoka. Mapambano haya si kwa watu wenye mioyo myepesi au wasioweza mbio ndefu. Hizi ni mbio ndefu zinazohitaji ukomavu, uthabiti, na ujasiri wa moyo. Hivyo tutawaacha wengi njiani, na wengine watajiunga nasi! Vyovyote i...takavyokuwa wapo ambao tutafika nao mwisho wa safari. Tuunge mkono!
Kama kweli Mil 30 alizoahidiwa mwisho wa Kampeni kama wale wasanii wenzake, walio kwenye kampeni za CCM, ndicho hasa kilichomtoa CHADEMA basi siasa hatoziweza maana akipewa dhamana yuko tayari kuuza hata uhuru wetu.