mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Salam za pasaka na mwezi mtukufu.
Nianze kwa kuwauliza hivi nini tunachokitaka toka kwa wanasiasa wa upinzani? Nikapita mitandaoni nikaangalia page kadhaa then nikapita na page za wanasiasa nikagundua kuwa wananchi hatuna tukitakacho na tupo kulaumu.
Usichukie ilikuwa hivi.
Nilipita page ya Zitto kabwe, nikakuta amepost uchambuzi wa ripot ya CAG na Ile hotuba ya PM juu ya mwelekeo wa bajeti ila response ilikuwa negative. Mara Zitto kabwe amenunuliwa mara Zitto Kabwe hataki kudai Katiba Mpya.
Nikapita na kwa Lema kidogo, nikakuta mabango yale Yale, sijui unaongea ukiwa mbali, Rudi kwanza, Mara crdb wanakudai, hoja zake hazijibiwi Wala kujadiliwa.
Nikapita na Martin Maranya, nikakuta kapost maneno ya sugu kwamba "Kitila alinifuata na blank cheque niweke kiasi nikitakacho nihamie ccm". Majibu ya wabongo "Uongo". Hukufika tu Bei?
Nikapita na Mwananchi nikakuta wamepost habari ya Mbowe kupiga kuonewa kwake na kuwahakikishia wafuasi wake kuwa yeye sio gaidi. Majibu ya likuwa. Ni huruma tu ya mama kuwa nje.
Mara Mbowe ongelea ugumu wa maisha yetu achana na hayo.
Sasa nakuja kwenu.
Zitto Kabwe anapojadili bajeti na ripoti ya CAG yupo wrong ?
Lakini tunamtaka Mbowe atoe maoni yake juu ya hilo Jambo ambalo kwa ZZK ni baya?
Kuna tatizo mahala.
Hawa wapinzani tunataka wajadili nini?
Nianze kwa kuwauliza hivi nini tunachokitaka toka kwa wanasiasa wa upinzani? Nikapita mitandaoni nikaangalia page kadhaa then nikapita na page za wanasiasa nikagundua kuwa wananchi hatuna tukitakacho na tupo kulaumu.
Usichukie ilikuwa hivi.
Nilipita page ya Zitto kabwe, nikakuta amepost uchambuzi wa ripot ya CAG na Ile hotuba ya PM juu ya mwelekeo wa bajeti ila response ilikuwa negative. Mara Zitto kabwe amenunuliwa mara Zitto Kabwe hataki kudai Katiba Mpya.
Nikapita na kwa Lema kidogo, nikakuta mabango yale Yale, sijui unaongea ukiwa mbali, Rudi kwanza, Mara crdb wanakudai, hoja zake hazijibiwi Wala kujadiliwa.
Nikapita na Martin Maranya, nikakuta kapost maneno ya sugu kwamba "Kitila alinifuata na blank cheque niweke kiasi nikitakacho nihamie ccm". Majibu ya wabongo "Uongo". Hukufika tu Bei?
Nikapita na Mwananchi nikakuta wamepost habari ya Mbowe kupiga kuonewa kwake na kuwahakikishia wafuasi wake kuwa yeye sio gaidi. Majibu ya likuwa. Ni huruma tu ya mama kuwa nje.
Mara Mbowe ongelea ugumu wa maisha yetu achana na hayo.
Sasa nakuja kwenu.
Zitto Kabwe anapojadili bajeti na ripoti ya CAG yupo wrong ?
Lakini tunamtaka Mbowe atoe maoni yake juu ya hilo Jambo ambalo kwa ZZK ni baya?
Kuna tatizo mahala.
Hawa wapinzani tunataka wajadili nini?