toka nimwambie mie ni bikira mmmh!

Jamani mbona mwampeleka kusiko,
angetaka kupiga mnada angeshafanya hivyo,
Kama wewe wahitaji Tangaza wapo wengi tu hawajui wakauze wapi ukitangaza Dau watajileta uchague!
 
Yani mimi huo umuhimu wa bikira hata huwa siuoni..utamu utamu tu,kwanza siku hizi bikira feki kibao! The point ni kwamba mwanamke awe katulia,anajiheshimu basi..wa2 wanapapatikia bikira wakati mchezo ni ule ule mwisho wa siku magoli yafungwe game over!
 
Hebu weka hiyo Virgin yako hapa tuhakikishe kwanza kama ni orijino au ndio zile za kichina
 
Ningekuwa mimi, ndo unaniambia wew ni Bikira,ningekuacha hapo hapo! UJINGA M2PU, yaan nipate tabu kuanza kukupanua? Tena cjajua umr wako... Kutoa bikra za ukubwan ni Ngum na Tabu 2pu... JAMAA AKIKUTOA,NITAFUTE TULE MALAVIDAVI!
 

Kuna mzee mmoja alishawahi kuniambia kuwa ni heri kuoa kabisa malaya kuliko mwanamke mwenye bikira. Ni heri yule ambaye alishatembea na wengi na kuona mengi lakini sasa anataka kusettle. Na wengine wanasema try before you buy it. If you like you can take it. If you don't you can return it back and you will get a full refund. Ila hongera if you're genuine.
 
mwenye bikra hayajui malovee.. mwanamke akiniambia ni bikra nitakimbia ht cangalii nyuma.any wayz ukitaka kujua km anataka kukuoa au vp.mpe tundi
 
Pamoja na kwamba pengine ni dhambi, lakini kuoa mwanamke bikira ni hatari sana hasa hawa wanaopitia kwenye JF na mitandao mingine. Kuna hadithi za ajabu sana humu kiasi ambacho huyo aliyeolewa bikira atataka kujaribu mambo tofauti aliyosikia humo ambayo mme wake hana.

Kuna demu humu kashangaa sana hapa juzi kuwa mwanaume anaweza ku do na mwanamke dakika 45 kabla ya kushusha mzigo, hatari yake anatamani aone maana mme wake yeye eti ni 5 to 8 or 10 dakika.

Acha bikira zitolewe huko primary na secondary mkija kwenye ndoa muwe tayari ok, lakini si vizuri ukafanywa jamvi la kijiji/shule/mtaa/mji. CV yako isije kuwa mbaya sana.
 
Bikira za midomoni hizi bwana aahhhkkk kazi kweli kweli kuziamini. Your age plz then I will come back soon!!!
 
aisee, wewe ni very skeptical
 
kama kweli unayo ni heshima kwako na familia yako, endele kijitunza hadi huyo jamaa atakapooa.
wasichana wengi wa umri wako na wengine wadogo zaidi hawana walishaanza kuchakachuliwa muda tuu!
 
experience inahitajika katika kila sehemu siku hizi,unaweza kuwa na cheti kizuri lakini ukawa hufai kwa kukosa experience,vivyo hivyo kwa mwanamke,kujitangazia bikra ni kutangaza kuwa huna kabisa experience ya mapenzi,una rumors 2 za mapenzi!wa2 wengi wanataka vi2 ambavyo vipo tayari kwa matumizi!
 
Mie simwamini huyu kabisa 23yrs bikira??? Nina wasiwasi!!!!!
 
Duuuhhh 23yrs ushajua mambo yote haya?? Bikira??? Waijua vizuri weye?? Na wasiwasi wameshakuchakuchua mpa mwisho unaleta blaa blaa tu hapa kwa watu wazima kama sisi!!!!

tatizo wabongo tumezoea kudanganya kwa iyo mnadhani kila m2 anadanganya. ukweli ndo huo n no one else anajua icipokua my boyfriend n u jf.
 
tatizo wabongo tumezoea kudanganya kwa iyo mnadhani kila m2 anadanganya. ukweli ndo huo n no one else anajua icipokua my boyfriend n u jf.

Hivi unajua ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu??? Boyfriend wako anajuaje na hamjadu ze nidiful??? Wewewe kuwa makinii alooohhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…