toka nimwambie mie ni bikira mmmh!

toka nimwambie mie ni bikira mmmh!

oooohhhh dear
hawa wanaume zetu hawaeleweki siku hizi dear.

wakipata virgin ....wanasema hana experience
wakipata ambae sie ..... mmmhhhh malaya..

bibie weye umejitunza vizuri tangia..
kwa hiyo asikuletee za kuleta na kukukosesha raha..
endelea kwa na msimamo wako..

kama kweli anakupenda basi avumilie..
usimrembeshee kabisa kwani hujui anawaza nini...

take care dear
AD
 
kuna jamaa mmoja nmekuwa nae kwa muda mrefu, ingawa ni kind of long distance relationship ivi. amekuwa akitaka tudo mara kwa mara ila nmemkatalia. cku moja nliamua kumwambia ukwel kwamba im still a virgin na ndo mana ni mwoga. basi toka cku iyo cmwelew mana cku iliyofuata tuu aliniletea engagement ring "nliikubali mana i waz on shock", ananipigia cm mara kwa mara ckuizi more than b4 n he real spy on me kumake sure ctembei na m2. sasa swali linakuja "JE ANANIPENDA KWELI AU NDO ANATAKA ANICHAKACHUE?"

hahahaa...nimependa hapa!! kumbe unajua mchezo! usilogwe umpe!!
 
hahahaa...nimependa hapa!! kumbe unajua mchezo! usilogwe umpe!!

kumbe hata we unajua kutoa ushuri..
kula legi..
hii mpya..

duuuhh salale kasi kolumayo..
hahhaah lol

kalale huko..lol
saa za watoto zimefika
 
Back
Top Bottom