comment toka topoloniaNyie ndio mnaowapa shinikizo wachezaji mashabiki wa gunners kuna somo inabidi muwapatie mashabiki wa SIMBA.
hao ulowataja hawakufeli ghafla kama sisi mkuu, walidrop taratibu bt sie tumedrop ghafla mno hadi inashangazaBloo huwezi kuwa Bora all the time .mpira una ups and down.Liver ametokea wapi,Leo Barca na Juve wako wapi uvumilivu tu ndo unatakiwa