Toka tupate uhuru, Dubai ama falme za kiarabu (UAE) imewahi kuisaidia nini Tanzania?

Toka tupate uhuru, Dubai ama falme za kiarabu (UAE) imewahi kuisaidia nini Tanzania?

Kuwaza waza kusaidiwa ni mawazo ya kitumwa

swali lilitakiwa kuwa tangu Uhuru mmewahi kushirikiana kwny maeneo gani?
Hii ni myopic thinking. Hii Dunia imekua hivyo toka imeanza, kusaidiwa na kusaidiana. Wewe kusaidia ndugu zako ni watumwa wako?

Hata vitabu maarufu vya hadithi kama biblia vimejaa hadithi za kusaidiwa na kusaidiana, musa alienda kuwasaidia wana wa Israel je walikua watumwa kwake, yesu alikua kuwasaidia wenye dhambi ama watu wa ulimwengu, je ni watumwa?

Kwa akili yako unadhani kusaidia kumekaa kwenye misingi ya fedha tu, kusaidia ni broader term, mfano kusaidia mawazo, kusaidia wazee wasiojiweza kwa sababu ya umri wao, kusaidia watoto kwa sababu ya umri wao, kusaidia walemavu, kusaidia wangonjwa nk.
 
Hao waarabu ni matapeli tu waliokuja kutunyonya kupitia mjomba wao.

Ndio maana hata ukitazama sehemu walizofungua kesi baada ya mikataba yao ya kinyonyaji kutotekelezwa, utaona wanavyofaidi kupitia fidia wanazolipwa na nchi husika.
Mwarabu alishakuwa Na kisasi cha miaka mingi baada ya Germany East Africa kumnyang'anya himaya yake yapatayo km 10 kuto fukwe ya bahari ya Hindi kwenda Bara kutoka Malindi hadi Mikindani.
Kwa upande wa Tanganyika sasa wamefanikiwa kurudisha eneo hilo kutoka Tanga hadi Mikindani (Mtwara). Ili isionekane target yao Ni eneo Lao la miaka hiyo, wakapewa haki ya kumiliki Bandari za maziwa makuu.
Waliwezaje kufanikiwa?! Ilihakikishwa uongozi wa maeneo hayo yanakuwa chini ya Wazanzibari. Haya yalitokea kwa bahati au kupangwa? Jiulize mwenyewe.
 
Nimejaribu kuangalia orodha ya washirika wetu wa maendeleo ama development partners toka tupate uhuru waarabu wa Dubai ama falme za kiarabu hawapo.

Nimejaribu kutafiti ni mradi gani wa maendeleo hata choo cha shule ambacho tumewahi kujengewa na waarabu wa Dubai nimekosa.

Kwenye ulimwengu huu, kanuni za ushirikiano ni wa give and take, unanipa na mimi nakupa, akufaae kwa dhiki ndie rafiki.

Swali la kujiuliza, waarabu ambao hawajawahi kutusaidia chochote toka tupate uhuru iweje tuje kuwapa biashara tena kubwa na ya maana namna hii na kuwaacha washirika wetu wa maendeleo kama China, Marekani, Uingereza, Japan, Ujerumani, Finland, Sweden, Canada ama South Korea?

Samia na serikali yake watuambie walitumia vigezo gani kuwapa tenda ama kandarasi waarabu ambao hawana masaada wowote kwenye maendeleo yetu? Je ni ujomba kama watu wanavyozema ama?
Wamepewa waarabu kwasababu wana kaundugu na mwarabu koko wa visiwani na hawa waislamu wa unguja wanapenda kujipendekeza kwa maarabu, wanawaona waarabu kama miungu yao. Ova
 
Nimejaribu kuangalia orodha ya washirika wetu wa maendeleo ama development partners toka tupate uhuru waarabu wa Dubai ama falme za kiarabu hawapo.

Nimejaribu kutafiti ni mradi gani wa maendeleo hata choo cha shule ambacho tumewahi kujengewa na waarabu wa Dubai nimekosa.

Kwenye ulimwengu huu, kanuni za ushirikiano ni wa give and take, unanipa na mimi nakupa, akufaae kwa dhiki ndie rafiki.

Swali la kujiuliza, waarabu ambao hawajawahi kutusaidia chochote toka tupate uhuru iweje tuje kuwapa biashara tena kubwa na ya maana namna hii na kuwaacha washirika wetu wa maendeleo kama China, Marekani, Uingereza, Japan, Ujerumani, Finland, Sweden, Canada ama South Korea?

Samia na serikali yake watuambie walitumia vigezo gani kuwapa tenda ama kandarasi waarabu ambao hawana masaada wowote kwenye maendeleo yetu? Je ni ujomba kama watu wanavyozema ama?
Muulize Mbowe aliyeenda kuwekeza Dubai.
 
Hapa ndio unataka kuonyesha kwamba umeandika kitu cha maana?

Kwamba kwa kua tulikua tunawazidi kiuchumi wakati wa uhuru basi hatupaswi kusaidiwa nao, sio?

Kwa akili yako fupi ni kwamba kama mtu amekutangulia kupata pesa, baadae wewe ukaja ukapata zaidi kuliko yeye hapaswi kukuomba msaada kisa alipata pesa kabla yako huko nyuma, sio?

Uwe unashirikisha kichwa kabla ya kuandika, acha kufikiri kwa kutumia maka.lio.
Kuomba omba wewe unaona ndio akili?
 
Dah, fikra za taifa lenye watu omba omba ni matatizo.

Badala ya kuuliza tuna uhusiano upi wa kihistoria , wewe unauliza "wametusaidia nini" Dah! Inasikitisha sana.

Hivi katika akili yako nanai alyekusaidia toka na kabla ya kupata Uhuru?

Mimi nakwambia hakuna. Ulikuwa unakaangwa kwa mafuta yako tu, usaidiwe tena?

Kwani Dubai alikwambia anakuja hapa kukusaidia?
 
Nimejaribu kuangalia orodha ya washirika wetu wa maendeleo ama development partners toka tupate uhuru waarabu wa Dubai ama falme za kiarabu hawapo.

Nimejaribu kutafiti ni mradi gani wa maendeleo hata choo cha shule ambacho tumewahi kujengewa na waarabu wa Dubai nimekosa.

Kwenye ulimwengu huu, kanuni za ushirikiano ni wa give and take, unanipa na mimi nakupa, akufaae kwa dhiki ndie rafiki.

Swali la kujiuliza, waarabu ambao hawajawahi kutusaidia chochote toka tupate uhuru iweje tuje kuwapa biashara tena kubwa na ya maana namna hii na kuwaacha washirika wetu wa maendeleo kama China, Marekani, Uingereza, Japan, Ujerumani, Finland, Sweden, Canada ama South Korea?

Samia na serikali yake watuambie walitumia vigezo gani kuwapa tenda ama kandarasi waarabu ambao hawana masaada wowote kwenye maendeleo yetu? Je ni ujomba kama watu wanavyozema ama?
Jinga kabisa kaline hii unataka ufanyiwe[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Dah, fikra za taifa lenye watu omba omba ni matatizo.

Badala ya kuuliza tuna uhusiano upi wa kihistoria , wewe unauliza "wametusaidia nini" Dah! Inasikitisha sana.

Hivi katika akili yako nanai alyekusaidia toka na kabla ya kupata Uhuru?

Mimi nakwambia hakuna. Ulikuwa unakaangwa kwa mafuta yako tu, usaidiwe tena?

Kwani Dubai alikwambia anakuja hapa kukusaidia?
Unajitoa akili, reli ya TAZARA ulijenga wewe mburula?


Hata hiyo huijui? Naomba nione hata bango moja la choo cha shule linaloonyesha msaada ama mchango wa waarabu wa Dubai hapa Tanzania.

Bold ya mwisho, ndio maana nikasema kwenye give and take, dubai hana sifa ya kupewa kazi yoyote hapa Tanzania.
 
Kuomba omba wewe unaona ndio akili?
Tanzania imekua ikiishi kwenye kuomba omba miaka yote toka tupate uhuru, huo ndio uhalisia, linaweza kua sio jambo zuri lakini ukweli na uhalisia unabaki pale pale.

Sasa kwenye kipindi cha kuomba omba na kupatiwa misaada huko nyuma, waarabu wa Dubai wamewahi kutusaidia nini ama kuchangia nini hapa Tanzania?
 
Unajitoa akili, reli ya TAZARA ulijenga wewe mburula?


Hata hiyo huijui? Naomba nione hata bango moja la choo cha shule linaloonyesha msaada ama mchango wa waarabu wa Dubai hapa Tanzania.

Bold ya mwisho, ndio maana nikasema kwenye give and take, dubai hana sifa ya kupewa kazi yoyote hapa Tanzania.


Dubai hakuja kuomba chochote hapa Tanzania. Wala hakuja kuchukuwa chochote hapa Tanzania, Dubai yupo kibiashara zaidi na Tanzania ya sasa ipo kibiashhara zaidi.

Taratibu kijana. Reli ya TAZARA ilijengwa na Mchina ili ajipatie shaba zilizo Zambia na Congo kwa urahisi. Nayo haikujengwa bure, ni deni kwa serikali za Zambia na Tanzania.

Reli ya kati ilijengwa na Mjerumani ili ajipatie kila aina ya mali kwa urahisi.

Sifahamu kwanini swali lako la kwanza lilenge kusaidiwa? ni lini utakuwa na mawazo ya kusaidia? Au mpaka lini utakuwa na mawazo ya kusaidiwa? Hata walemavu wenye akili zao wanajisaidia wenyewe, hawangohi kusaidiwa kama wewe.

Makubaliano yaliyopo baina ya Serikali ya Dubai na ya Tanzania siyo ya kuisaidiana.

Siku zote ukitaka maendeleo usiwe na mawazo ya kusaidiwa, kuwa na mawazo ya kufanya.

John F. Kennedy katika hotuba yake ya kutawazwa Urais mwaka 1961 alisema "Usiulize nini nchi yako itakufanyia, uliza nini utaifanyia nchi yako". (“Ask not what your country can do for you – ask what you can do for your country,”).
 
Tanzania imekua ikiishi kwenye kuomba omba miaka yote toka tupate uhuru, huo ndio uhalisia, linaweza kua sio jambo zuri lakini ukweli na uhalisia unabaki pale pale.

Sasa kwenye kipindi cha kuomba omba na kupatiwa misaada huko nyuma, waarabu wa Dubai wamewahi kutusaidia nini ama kuchangia nini hapa Tanzania?
Elewa kuwa Waarabu wa Dubai ni Waislam, Uislam unawafundisha wakitoa msaada wasiutangaze. Labda uutangaze wewe uliopewa.

Mimi siamini kuwa wapo hapa kwa ajili ya kuwa "walitupa" msaada au sisi tupo kwa kulipa misaada tuliuopewa kama ombaomba. Kuna omba omba anaerudisha aichokiomba?

Msada sio deni wala sio wa kutangazwa. Nayafahamu mengi sana waliyoyafanya duniani lakini siwezi kuwa msemaji wao na kuanza kutangaza. Isipokuwa ntakushauri tu, pitia mashirika ya Umoja wa Mataifa ya misaada ya kila nyanja uone sisi tunachangia nini huko, UAE inachangia nini huko, na nani wanaofaidika na hayo mashirika. Kama huyafahamu nijulishe nikufahamishe.
 
Kinachokufanya ustahili kupewa misaada ni nini haswa? Je wewe ni omba omba? Wewe ni mlemavu wa viungo hadi huwezi jifanyia kitu mwenyewe? Je wewe ni mvivu mwizi au mrafi hadi utamani vya wenzako au huna Akili? Bwege? How come mtu anawaza misaada?

Kuna Watanzania wanastahili kuchapwa risasi
 
Nimejaribu kuangalia orodha ya washirika wetu wa maendeleo ama development partners toka tupate uhuru waarabu wa Dubai ama falme za kiarabu hawapo.

Nimejaribu kutafiti ni mradi gani wa maendeleo hata choo cha shule ambacho tumewahi kujengewa na waarabu wa Dubai nimekosa.

Kwenye ulimwengu huu, kanuni za ushirikiano ni wa give and take, unanipa na mimi nakupa, akufaae kwa dhiki ndie rafiki.

Swali la kujiuliza, waarabu ambao hawajawahi kutusaidia chochote toka tupate uhuru iweje tuje kuwapa biashara tena kubwa na ya maana namna hii na kuwaacha washirika wetu wa maendeleo kama China, Marekani, Uingereza, Japan, Ujerumani, Finland, Sweden, Canada ama South Korea?

Samia na serikali yake watuambie walitumia vigezo gani kuwapa tenda ama kandarasi waarabu ambao hawana masaada wowote kwenye maendeleo yetu? Je ni ujomba kama watu wanavyozema ama?
Wametusaidia nyama ya ngamia mkuu
 
Back
Top Bottom