ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Ndugu zangu habari za asubuhi! Sisi kama uongozi wa wanafunzi tumefanya jitihada zetu zote kuhakikisha pesa ya mkopo tunapata kwa wakati, hadi hivi sasa pesa ipo kwenye account ya chuo tangu tarehe 23 ya mwezi wa 12/ 2014 ila hadi sasa MUHASIBU anasema tumuongezee muda wa kufanya malipo,
kwa mujibu wa mapatano ya tarehe 15/1/2014 ya kwamba ifikapo ijumaa 17/1/2014 atakuwa ameshalipa kwa wote wasiodaiwa na chuo na kwawale wanaodaiwa ataanza kuwaandalia malipo 19/1/2914 ila hadi sasa hajalipa,
hatuwezi kuvumikia na jambo hili haliitaji kikao lipo wazi. Mapinduzi ya Kweli yataletwa na sisi wenyewe, mm nadhani ni wakati sasa wa kwenda headquarter kushare nao maumivu tuliyonayo. Tafadhari tuwe pamoja.
Mr. Vicent Jonas President.
Na tumeshaanza thankx president leo mpaka kieleweke ada kubwa pesa zetu hawataki kutupatia
kwa mujibu wa mapatano ya tarehe 15/1/2014 ya kwamba ifikapo ijumaa 17/1/2014 atakuwa ameshalipa kwa wote wasiodaiwa na chuo na kwawale wanaodaiwa ataanza kuwaandalia malipo 19/1/2914 ila hadi sasa hajalipa,
hatuwezi kuvumikia na jambo hili haliitaji kikao lipo wazi. Mapinduzi ya Kweli yataletwa na sisi wenyewe, mm nadhani ni wakati sasa wa kwenda headquarter kushare nao maumivu tuliyonayo. Tafadhari tuwe pamoja.
Mr. Vicent Jonas President.
Na tumeshaanza thankx president leo mpaka kieleweke ada kubwa pesa zetu hawataki kutupatia