MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Bongo tu ndio kuna huu upuuzi,nchi nyingine za afrika matajiri ni weusi.Waarabu na wahindi wana hela angalia Simba na Yanga na Azam zinadhaminiwa na kina nani jiulize hapo ndio utapata jibu na anatoa hela sana toa boriti ya jicho lako kwanza kabla ya kusema ya mwenzako
Sio hivyo tu ngumi na mieleka WWE inaenda kufanyika Uarabani na bado utavimba hadi upasuke na chuki zako, na wao ndio wenye shirika la ndege bora sasahivi duniani. Usicheze na pesa mzee utajipa stress ambazo hazikusaidii kitu.Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira km haramu.
Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.
Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko.
Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio.
Mafanikio yao ni kama white elephant projects.
Wanashinda lkn mashabiki km hawana furaha,angalia manchester city wameshinda kila kitu ila ni km hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki. Ni km wamenunua makombe.
Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lkn wanalipa napenda mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.
PSG walimsajili messi lkn ni km hawakuwa na messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa
Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.
Kiufupi waarabu wao ni watu waharibifu ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa saudi arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Ukienda kuangalia mechi ya championship ya stoke city utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira etihad under oil money.
I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
Sio mbali hata hapo Uganda wenyeji wana pesa na biashara kubwa kuliko wa hindi na hao waarabu ni Tz tu.Bongo tu ndio kuna huu upuuzi,nchi nyingine za afrika matajiri ni weusi.
Its a longterm investment , emirate airline ilivyoanza wazungu hawakujua kama itafikia kuzifunika ndege zao, sasahivi yeye ndio anayepiga route nyingi duniani kuliko ndege yoyote, hata uae walivyoanza kutaka dubai iwe kitovu cha biashara na utalii kila myu aliona kichekesho kama tukatalii jangwani look at it nowWazungu wenyewe wame mind kinoma, wanaona ligi yao itapoteza mvuto. Football made in england ndio maana ligi yao inaongoza kutazamwa duniani. Sasa hiyo ligi ya uarabuni nani ataitazama hata kama watajaza mastaa bado sana haina mvuto
Kuna ukweli katika hayaNakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira km haramu.
Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.
Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko.
Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio.
Mafanikio yao ni kama white elephant projects.
Wanashinda lkn mashabiki km hawana furaha,angalia manchester city wameshinda kila kitu ila ni km hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki. Ni km wamenunua makombe.
Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lkn wanalipa napenda mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.
PSG walimsajili messi lkn ni km hawakuwa na messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa
Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.
Kiufupi waarabu wao ni watu waharibifu ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa saudi arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Ukienda kuangalia mechi ya championship ya stoke city utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira etihad under oil money.
I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
kwa hiyo hiyo ligi yao itafika wakati itakuwa ligi bora duniani kupita ligi za uefa? Sawa tusubiri wakatiIts a longterm investment , emirate airline ilivyoanza wazungu hawakujua kama itafikia kuzifunika ndege zao, sasahivi yeye ndio anayepiga route nyingi duniani kuliko ndege yoyote, hata uae walivyoanza kutaka dubai iwe kitovu cha biashara na utalii kila myu aliona kichekesho kama tukatalii jangwani look at it now
Kuna article nlisoma sehemu wana mpango kuomba bingwa wa SPL acheze UEFA champions Leaguekwa hiyo hiyo ligi yao itafika wakati itakuwa ligi bora duniani kupita ligi za uefa? Sawa tusubiri wakati
wapewe tu, mbona uefa ina timu mpaka israel, uturuki na urusi ambazo hizo nchi ziko asiaKuna article nlisoma sehemu wana mpango kuomba bingwa wa SPL acheze UEFA champions League
Wazungu hua hawana noma wanaweza wapawapewe tu, mbona uefa ina timu mpaka israel, uturuki na urusi ambazo hizo nchi ziko asia
Hapo kwa jackchain umeuaUna hoja na usikilizwe.
Mpira kiukweli umeshuka passion.
Anayekataa sijui labda maOldtimer lakini gone are the days.
Sema kipindi Cha nyuma technology ilikuwa sio kiivyo na social media , Netflix hazikuwepo so option ilikuwa mpira wengine tulikuwa tunajifanya tuna timu tusionekane washamba lakini mpira bana una boa kama sio English premier league na studio zao na sublime za watangazaji mpira ni ufala.
Bora nimcheki Jack Chan
Thread ingekua nzuri ungesema Nini kifanyikeNakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira kama haramu. Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.
Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko. Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio. Mafanikio yao ni kama white elephant projects.
Wanashinda lakini mashabiki kama hawana furaha, angalia Manchester City wameshinda kila kitu ila ni kama hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki) ni kama wamenunua makombe.
Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lakini wanalipa, mapesa mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.
PSG walimsajili messi lakini ni kama hawakuwa na Messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa.
Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu, nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.
Kiufupi Waarabu wao ni watu waharibifu, ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa Saudi Arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Ukienda kuangalia mechi ya Championship ya Stoke City utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira Etihad under oil money.
I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
Waarabu wanekua wanaongoza soka la Africa miaka nenda rudi. Angakia historia ya soka la Africa uone wanaume kutoka Morroco, Algeria, Tunisia na Misri walivyo na wanavyo tawala soka.Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira kama haramu. Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.
Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko. Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio. Mafanikio yao ni kama white elephant projects.
Wanashinda lakini mashabiki kama hawana furaha, angalia Manchester City wameshinda kila kitu ila ni kama hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki) ni kama wamenunua makombe.
Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lakini wanalipa, mapesa mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.
PSG walimsajili messi lakini ni kama hawakuwa na Messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa.
Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu, nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.
Kiufupi Waarabu wao ni watu waharibifu, ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa Saudi Arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Ukienda kuangalia mechi ya Championship ya Stoke City utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira Etihad under oil money.
I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
Maskini mmoja akiwa chanika zingiziwa akiropoka. PUMBAVUUUUNakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira kama haramu. Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.
Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko. Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio. Mafanikio yao ni kama white elephant projects.
Wanashinda lakini mashabiki kama hawana furaha, angalia Manchester City wameshinda kila kitu ila ni kama hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki) ni kama wamenunua makombe.
Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lakini wanalipa, mapesa mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.
PSG walimsajili messi lakini ni kama hawakuwa na Messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa.
Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu, nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.
Kiufupi Waarabu wao ni watu waharibifu, ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa Saudi Arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Ukienda kuangalia mechi ya Championship ya Stoke City utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira Etihad under oil money.
I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
Mbona Al Ahly anasumbua afrika?Waarabu niwatu wa ajabu sana
Kitu CHOCHOTE kikifanywa na Mwarabu lazima mambo yaharibike.
Mfano:
Luis MIQUISSONE.
Chama.
Bangala.
Kisinda.
Christopher Alex.
Hawa wote wamecheza na wamepewa Hela na Mwarabu na Hatimaye wameishia PABAYA.
Shame