tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
Babyface anajua sana kuandika nafikiria hakuna anayemfikia kwa kuandika, kuimba wapo wenye uwezo zaidi yake ,Hakuna kama Babyface masihara tuweke pembeni wadau!!
ED SHERAAN -THINKIN OUT LOUD hakunagajust in case.....jaheim
Nimemsahau jamaa yangu - BILLY OCEANHuyu jamaa anajua balaa lkn sijui kwanini tu?,ingekuwa bongo labda tungesema jamaa ana bifu na Ruge ,wadau wa rhythm and blues nina tatizo iko wapi kwa huyu jamaa?
Kuna ngoma kashirikishwa na Nelly ni noma sana kile kiitikio kakitendea haki sana.
Kujua anajua, ila tatizo sijui nini.
Just incase nilikuwa naukubali sana huo wimbo wake. Ila mwana umeongeza chumvi. Tangu dunia ianze? huenda hayo ni mawazo yako au ni wapi na lini dunia ilmtangaza kwa tuzo au vyovyote kwa sifa hiyoHuyu jamaa anajua balaa lkn sijui kwanini tu?,ingekuwa bongo labda tungesema jamaa ana bifu na Ruge ,wadau wa rhythm and blues nina tatizo iko wapi kwa huyu jamaa?