Kocha mahili ndy nani?Yanga haijaboronga, inazidiwa pointi mbili tu na anayeongoza ligi.
Imecheza mechi tano, imeshinda mbili vs Njombe mji, Ndanda fc.
Imesuluhu mechi ngumu tatu vs Lipuli, Majimaji, Mtibwa.
Ina pointi tisa.
Ina magoli ya kufunga matatu
2 Ajib, 1 Ngoma.
Imefungwa magoli mawili.
Inatofauti ya goli moja. 3 - 2
Iko nafasi ya Sita katika msimamo wa ligi.
Ipo chini ya kocha mahili Lwandamila.
Hata msimu huu, Yanga mnachukua ndoo ya ubingwa wa ligi.Tofauti ya point mbili nyie wavaa jezi kwa maagizo ya waganga mnapiga kelele utafikiri mmechukua ndoo tayari.
Ligi ina mechi nyingi. Siku zote huwa mnaongoza lakini mwishowe pumba na mchele hujitenga
Endeleeni kusikiliza nyimbo za Haji Manara.Hata msimu huu, Yanga mnachukua ndoo ya ubingwa wa ligi.
Simba inawawekea nafasi yenu tu.
Lwandamila Oyee...!
Umesema ukweli, wanaotarajia kuchukua ubingwa wa VPL ni Yanga, Azamu na Singida United.Endeleeni kusikiliza nyimbo za Haji Manara.
Unatania lakini mwisho wa msimu Itakuwa hivyo. Ba Yanga akikosa ubingwa, utaenda Singida United au Azam
Matopeni hawajiani hata kidogo. Jana wamegoma kutumia jezi ya away maana hizo nyekundu zililala kwa sangoma.Malinzi alikuwa anacheza namba ngapi kwenye timu?
Mwaka Jana kipindi kama hiki Yanga ilikuwa hoi bin taabani ikizidiwa na Simba zaidi ya pointi 8.
Kipindi hili Malinzi hayupo inazidiwa point 2
Mbeleko imekatwa rasmi pambana na hali yenu chura churaniTofauti ya point mbili nyie wavaa jezi kwa maagizo ya waganga mnapiga kelele utafikiri mmechukua ndoo tayari.
Ligi ina mechi nyingi. Siku zote huwa mnaongoza lakini mwishowe pumba na mchele hujitenga
12Malinzi alikuwa anacheza namba ngapi kwenye timu?
Hiyo mmechukua nyie?Mbeleko imekatwa rasmi pambana na hali yenu chura churani