py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Tokea aliyekuwa rais wa TFF Malinzi kuondoshwa madarakani timu za yanga na kagera wameanza ligi vibaya ni dhahiri yanga na kagera wanafanya vibaya kwenye ligi na ni jambo la kushangaza.
Imekuwa ikizoeleka kwa nyakati hizi yanga inashika nafasi ya kwanza huku kagera akiwa nafasi ya nne lkn imekuwa sivyo ndivyo klabu ya yanga inajikongoja na kagera wameshika mkia
Je yanga na kagera wana mmiss Malinzi ?
Imekuwa ikizoeleka kwa nyakati hizi yanga inashika nafasi ya kwanza huku kagera akiwa nafasi ya nne lkn imekuwa sivyo ndivyo klabu ya yanga inajikongoja na kagera wameshika mkia
Je yanga na kagera wana mmiss Malinzi ?