Tokea niachane na demu huyu korodani zangu hazionekana!!!!!!!!

Tokea niachane na demu huyu korodani zangu hazionekana!!!!!!!!

Fedhuli

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
351
Reaction score
123
Jamani nimeachana na binti mmoja hivi wa kiarabu baada ya kutofautiana mambo fulani hivi, saizi ni mwezi wa pili, korodani zangu hazipo na hazionekani kabisa, kupo flaaaat ila mzee anasimama kama kawaida. lakini mambo wakati tunapiga chini aliniambia maneno mengi makali nashindwa hata kuyasema nifanyeje.....................................
 
Unaonekana umeingia katika iman zile.....!subir waje wataalam watakusaidia.
 
kwa hiyo mwarabu kaondoka na viroba vyako vya mbegu...kweli imbombo jhilipo!
 
kha... mwarabu au shombo ya kigunya? sema hayo maneno tukusaidie...
 
Pole sana lakini uzoefu unaonesha ulikua ukipiga sana kazi kipindi uko nae sasa kifuko cha mbegu kilikua kinapungua siku hata siku mpaka kikakwisha kabisa.

ushauri kula sana vyakula vyenye protini ama mpm Mzizimkavu kwa ushauri zaidi
 
Kaka salama yako iko kwa Yesu tu.
Si ajabu hizo korodani zako zinafanyiwa tambara la deki somewhere. Njoo kwa Yesu, acha uasherati na dhambi kisha utakuwa sawa na amani tele itakujilia. Kama waamini sema Amina.
 
Back
Top Bottom