chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Mimi nilijua ukijua kuandika vizuri kiswahili kinalipa, sio kila mtu anaweza kuandika vizuri, hata huko Ulaya Kingereza sio wote wanaondika vizuri.
Sasa wewe mwenzangu unayekuja kutakebei kwa Kiswahili chako fasahaa kimekupa nini? Wenye lugha zao wanavozidi kuzipa teknolojia na maendeleo huku wakizidi kukupa misaada.
Kama lugha inakulisha basi utakuwa tajiri.
Sasa wewe mwenzangu unayekuja kutakebei kwa Kiswahili chako fasahaa kimekupa nini? Wenye lugha zao wanavozidi kuzipa teknolojia na maendeleo huku wakizidi kukupa misaada.
Kama lugha inakulisha basi utakuwa tajiri.