Tokea Yanga acheze fainali ya CAF bado hajakutana na team ya kum-challenge

Tokea Yanga acheze fainali ya CAF bado hajakutana na team ya kum-challenge

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Habari Wanasports

Yanga tokea alivyocheza gemu nzito ya fainali dhidi ya Usm Alger na kuondoka na ushindi wa goli 1 kwa nunge nathubutu kusema bado hajakutana tena na gemu ya kumsumbua

Yanga siku hizi anacheza mpira wa ku-relax sana, gemu nying anadharau ndo maana ni rahisi kusikia Yanga alifungwa akachomoa na kuongeza, Yanga kama akiamua kukamia gemu zake akiwa sirias kuna uwezekano kila siku timu za bongo zikanyanyasika vibaya sana kwa vichapo vya aibu

Hata game ya Yanga dhidi ya Ihefu ilitokana na dharau zilizozidi kiwango hadi kuja kushtuka mambo si mambo
Game dhid ya azam pia azam walipata hadi chance ya kuongoza na walitaka gemu washinde lakini utawezaje kumpiga usiemuweza sasa

Game dhidi ya Simba ukiichek Yanga wamedominate game kabisa huku wakicheza kwa kurelax sana, boli linachezwa kama hizi control zetu za mtaani poor Simba

Kwasasa tunataka tuione Yanga akicheza na wanaume huko wa Afrika, kwakweli hata mzuka wa kuicheki Yanga akicheza ligi kuu unapotea sasa yani ni sawa na bondia kumpiganisha na mtoto

MNAOENDELEA KUUKATAA UKUBWA WA YANGA MDA UTAONGEA

NB:YANGA YUPO KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA KUWANIA TUZO YA CLUB BORA YA MWAKA AFRIKA
 
Habari Wanasports


Kwasasa tunataka tuione Yanga akicheza na wanaume huko wa Afrika, kwakweli hata mzuka wa kuicheki Yanga akicheza ligi kuu unapotea sasa yani ni sawa na bondia kumpiganisha na mtoto

MNAOENDELEA KUUKATAA UKUBWA WA YANGA MDA UTAONGEA

NB:YANGA YUPO KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA KUWANIA TUZO YA CLUB BORA YA MWAKA AFRIKA
Inatosha jamani waacheni walale. Mmewapiga bao nyingi kwahyo wamechoka sana
 
Yule Dingi GAMONDI hafai ni mtu mbad sana Mzee wa nyuklia anaua mbu (Simba) kwa bunduki! Kweli bila huruma?
Eti 5G hazitoshi kuikanda Simba kweli? Eti ye anataka Simba ipigwe kama ngoma wiki nzima (7-0).

Hebu tujikumbushe hapa chini furaha ya wananchi Goli la 5G!
 

Attachments

  • VID-20231105-WA0025.mp4
    3.4 MB
Simba mdomo sana mara sijui mvua ikinyesha wanashinda ila sisi tumeshinda ila jiji lipo kawaida tu wangeshinda simba jiji lisingetulia leo
Simba wengi ni mambumbumbu , wakishinda lazima kelele ziwepo mkuu
 
Habari Wanasports

Yanga tokea alivyocheza gemu nzito ya fainali dhidi ya Usm Alger na kuondoka na ushindi wa goli 1 kwa nunge nathubutu kusema bado hajakutana tena na gemu ya kumsumbua

Yanga siku hizi anacheza mpira wa ku-relax sana, gemu nying anadharau ndo maana ni rahisi kusikia Yanga alifungwa akachomoa na kuongeza, Yanga kama akiamua kukamia gemu zake akiwa sirias kuna uwezekano kila siku timu za bongo zikanyanyasika vibaya sana kwa vichapo vya aibu

Hata game ya Yanga dhidi ya Ihefu ilitokana na dharau zilizozidi kiwango hadi kuja kushtuka mambo si mambo
Game dhid ya azam pia azam walipata hadi chance ya kuongoza na walitaka gemu washinde lakini utawezaje kumpiga usiemuweza sasa

Game dhidi ya Simba ukiichek Yanga wamedominate game kabisa huku wakicheza kwa kurelax sana, boli linachezwa kama hizi control zetu za mtaani poor Simba

Kwasasa tunataka tuione Yanga akicheza na wanaume huko wa Afrika, kwakweli hata mzuka wa kuicheki Yanga akicheza ligi kuu unapotea sasa yani ni sawa na bondia kumpiganisha na mtoto

MNAOENDELEA KUUKATAA UKUBWA WA YANGA MDA UTAONGEA

NB:YANGA YUPO KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA KUWANIA TUZO YA CLUB BORA YA MWAKA AFRIKA
Ihefu je? au umeamua tu kujitoa ufahamu?
 
Back
Top Bottom