To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Tangu nimeanza kukuchamba tangu wanitag nawe, ungekuwa wa kukoma kuniongelesha ungeshakoma.....nimechoka kuongea mie🙄🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu nimeanza kukuchamba tangu wanitag nawe, ungekuwa wa kukoma kuniongelesha ungeshakoma.....nimechoka kuongea mie🙄🤣🤣🤣🤣
Asante mmy
Asante dear.. unataka zawadi ya pasaka🤷🏽♀️😂
Mnaweźa kunitengenezea briefcase 💼 ya ngozi?
Onekana nadhifu na wa kitofauti. Kupendeza ndio mpango mzima. Tuonane PM
Ndiyo wangu ...nitafurahi kweli😘😘Asante dear.. unataka zawadi ya pasaka🤷🏽♀️😂
Muuzaji anapatikana wapi?Ndiyo wangu ...nitafurahi kweli😘😘
Ingia PM hili ni jukwaa la urembo sio matangazo ya biasharaMuuzaji anapatikana wapi?
Ooh asanteIngia PM hili ni jukwaa la urembo sio matangazo ya biashara
Thank you bebe
Asante nakuja ku support biashara
Vya kubebea vishikwambi hivyoWale tunaopenda muonekano wa kiasili.....naona vimikoba vizuri vipo hapo😘😘😘
Yes vijana ndio wanaanza, tuwa boostAsante nakuja ku support biashara
Mie sitaki kufa mapema japo tayari nina mgoma. Kuwa na mwanamke mmoja ni kulikaribisha kaburi
Wewe unakula vidonge, To yeye anakuuaje mapema?Mie sitaki kufa mapema japo tayari nina mgoma. Kuwa na mwanamke mmoja ni kulikaribisha kaburi
Mwanaume ukiwa na mwanamke mmoja ni majangaWewe unakula vidonge, To yeye anakuuaje mapema?
Ongeza mkeMwanaume ukiwa na mwanamke mmoja ni majanga