Tom boy ndani ya ghetto langu!

Chumvini vipi Mkali wao uliingia😢
 
Vp mkuu......hawa matom boy .....hwapigi mizinga Sana kama Hawa dada zao?
 
haha! Ndugu mi sio kibaka unaweza fikiri kaja kawa mambo hayo kumbe mtoto wa watu hana hizo! Any fucking step can harm you! Uzuri mzigo uliliwa!
Sio ukibaka ila inaonekana ata shetani alikuwa anawaogopa yan mda wote huo anatafta mbinu za kuwaingiza majaribuni
 
Pumbavuuu eti still i remember the sweetest lips
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…