Nami nakumbuka sana siku hii. Tena ilikuwa sio miaka mingi tangu mauaji ya Gama Pinto. Bado naamini Njenga Njoroge alitumwa na Kenyatta (why don't you go after the big man?) hadi leo hii.
That is a show off game you're trying to play!No apologies necessary. I am one of the founding members of this forum since the days it used to be known as Jamboforums; I have been here for over 12 years now so I have read a lot from people like you. This forum is a very wide platform that accommodates both intellectuals and the dumbs; it is just like a Kichuguu that accomodates both mchwa and nguchiro
Hizo ni tetesi tu lakini Njoroge alinyongwa kama sikosei mwaka 1969.Nilisikia kama tetezi enzi hizo kuwa yule mtu ambaye alimuua Tom Mboya alitoroshwa nje ya Kenya kupitia Ethiopia kwa kutumia jeneza(coffin) na wala siyo Njenga!!
Eish budaboss ulikuwa hai enzi hizo? [emoji15] Wah, mzae, na vile unakuwaga na umama mob? Why??? [emoji1]Nami nakumbuka sana siku hii. Tena ilikuwa sio miaka mingi tangu mauaji ya Gama Pinto. Bado naamini Njenga Njoroge alitumwa na Kenyatta (why don't you go after the big man?) hadi leo hii.