Nami nakumbuka sana siku hii. Tena ilikuwa sio miaka mingi tangu mauaji ya Gama Pinto. Bado naamini Njenga Njoroge alitumwa na Kenyatta (why don't you go after the big man?) hadi leo hii.
Nilisikia kama tetezi enzi hizo kuwa yule mtu ambaye alimuua Tom Mboya alitoroshwa nje ya Kenya kupitia Ethiopia kwa kutumia jeneza(coffin) na wala siyo Njenga!!