Tomas Ulimwengu aondoka Sweden na kutua Genk, aanza kujifua

Hujanielewa mkuu, nashindwa kuelewa ktk muda mfupi wote wameumia, hii inapunguza perfomance yao uwanjani.
Nawatakia kheri ila kuanza kukaa benchi kwa kuumia goti ni km dereva asiyeona.
So wangejitahidi kucheza mpira wakijilinda zaidi sehemu hizo.
....unacheza mpira huku ujilinde !? angefundishwa Diaby na Wilshare
 
Hizi chuki huwa haziwasaidii... Wewe unachezea team gan? Huu wivu ni wa kitoto sana. Kama ana force mafanikio wewe unaforce nini? Kila wakat majungu na ndo maana mnabaki maskini siku zote na roho zenu za kutu. Yeye na wewe hamfanani mwenzako ameshatoka kimaisha angalau si kama wewe unayebak kufanya majungu




huyu dogo ali force kwenda kucheza soka la kulipwa kiwango chake ni kucheza mtibwa au kagera sugar
 
Hizi chuki huwa haziwasaidii... Wewe unachezea team gan? Huu wivu ni wa kitoto sana. Kama ana force mafanikio wewe unaforce nini? Kila wakat majungu na ndo maana mnabaki maskini siku zote na roho zenu za kutu. Yeye na wewe hamfanani mwenzako ameshatoka kimaisha angalau si kama wewe unayebak kufanya majungu


JamAa naona anpenda kutembelea nyota ya samatta nafikirbkama samata asingekuepo katika maisha ya tom saiv hata mazembe asingeijua na nathani angekua kagera sukar saiv
 
JamAa naona anpenda kutembelea nyota ya samatta nafikirbkama samata asingekuepo katika maisha ya tom saiv hata mazembe asingeijua na nathani angekua kagera sukar saiv
Nyota ya kaa hii hapa, umeambiwa kafuata matibabu tu
 
Hata pale Mazembe kwa kiwango chake palimfaa zaidi!
kigezo cha msingi kwenye nchi nyingi ni kuwa mchezaji wa timu ya Taifa kwa wachezaji wa kigeni, na yeye kigezo hicho anacho
 
Alijiharibia mwenyewe kutoka Tp Mazembe waati hajui anakoelekea
 
safi sana, wakija Tz watakuwa wanaelewana uwanjani
 
Alijiharibia mwenyewe kutoka Tp Mazembe waati hajui anakoelekea

Kwani si mkataba uliisha?.. huyu kama angeenda uarabuni akitokea mazembe angevuna pesa nyingi sana huko sababu mazembe ni timu kubwa lkn akajifanya nae wa hadhi ya juu anaweza tamba ulaya!!. Atakuja kufulia vibaya sana huyu na kusononesha wengi.. Nini ulimwengu, kina Tressor Mputu na Worgu Steven walikua na viwango vya juu kbs vya kucheza ulaya lkn waliamua tu kubaki africa na kuvuna pesa. Bora angefosi kubaki tu pale mazembe kwani alishaanza kupata namba baada ya samata kuondoka
 
Ukipitia posts zote kwenye huu uzi ndio utajua Watanzania tuna roho za namna gani!!
 
Kazeni huko huko msijaribu kurudi bongo ni ligi ya kinazi kwa naona kama ni mpira pori
 

Swadaqta
 
JamAa naona anpenda kutembelea nyota ya samatta nafikirbkama samata asingekuepo katika maisha ya tom saiv hata mazembe asingeijua na nathani angekua kagera sukar saiv
Wivu wa kikumanina huu! Yaani ni dhambi kucheza timu moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…