mwamba mrejesho bado tu!!..uchi umenisimama kama naenda kufanyiwa mimi masaji
Mkuu, Kama una mke mwambie akusindikize, na kama siku nyingine atakuruhusu uende
peke yako jua tu Mke huna.................
Kuwa na pesa tuu ya dharula,chochote chaweza tokea.
Masaji njema!!!
Kama hutakuwa kama mimi lazima ujichukulie na unaweza kujikuta kila mwisho wa mweziDuh,kwa hiyo huko ni balaaaaa eeeeh,maana yake siku moja moja lazima ubadilishe ladha,si unajua tena
[emoji23] [emoji23] [emoji122]Nafikiri ulikuwa unamkusudia huyu
punguza nyeto! ungekuwa si mtu wa nyeto ungemkula tu huyo !halafu kipingana na hitajio la kiume ni dalili mbaya ungese huanza hivyo kwa kukataa kula chakula cha kiume matokeo yake kfaa kinaacha kurespond pole pole mpaka unageuka punga!
endelea tu na mazoezi yakonya upunga!mkuu...tumia akili unapojibu hoja.Kuna kitu kinaitwa discipline....mimi situmii Mb**** kufikiria kama wewe....otherwise kama ningesema kila mdada ni wakula wakula hovyo ningekua nimeisha kufa siku nyingi...
Nimefanya kazi bandarini miaka mitano enzi za jakaya kikwete....nilijifunza hapo ku control tamaa za kijinga....ndugu zangu wengi leo wameondoka kwa "kula kula ovyo"ili kuonyesha wanaume wao..
Nachojaribu kuonyesha ni kwamba ukiwa disciplined unaweza.
asante mkuu endelea pia na kurukaruka mkuu..endelea tu na mazoezi yakonya upunga!
Poaasante mkuu endelea pia na kurukaruka mkuu..
Usijali sana mkuu, kuna watoto humu ndio kwanza Wanabalehe sasa balehemkuu...tumia akili unapojibu hoja.Kuna kitu kinaitwa discipline....mimi situmii Mb**** kufikiria kama wewe....otherwise kama ningesema kila mdada ni wakula wakula hovyo ningekua nimeisha kufa siku nyingi...
Nimefanya kazi bandarini miaka mitano enzi za jakaya kikwete....nilijifunza hapo ku control tamaa za kijinga....ndugu zangu wengi leo wameondoka kwa "kula kula ovyo"ili kuonyesha wanaume wao..
Nachojaribu kuonyesha ni kwamba ukiwa disciplined unaweza.
Wanaume wa Daslam mnaroho ngumu hapajapata tokea.....
Yaani unajipeleka kusuguliwa mkuyenge kwa kutumia nyonyo....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Yaani unajipeleka kushikwa shikwa kiuno...[emoji47] [emoji47] mwisho kidole kidumbukie kinyeoni, alafu ndio iwe mwanzo wa upunga...[emoji52] [emoji52]
Kama mimi nilishindwa kuvumilia uoshwaji wa maskio baada ya kutoka kunyoa...[emoji53] [emoji53] sembuse huko kwenye unaenda leo....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Anyway.....
Mkuu, minaona umeamua kujielekeza kibla tena bila shuruti....
Ha ha ha ha haHahahahahha mkuu umenikumbusha mbali sana. Enzi nipo moshi nilienda kunyoa saluni moja ipo maeneo ya maduka ya juu kcmc, wakati wa kuosha nashangaa mdada ananitomasha mabegani nikavumilia kaja kwenye maskio nikamwambia weeeee ishia hapo hapo. Nikachukua jagi nikaosha nywele zangu akanifuta na taulo nikasepa. Sipendi ujinga na mambo yasiyotarajiwa
mimi nilienda isee na nikapata nilichokuwa nakihitaji ila kilo ilinitoka hivi hivi naionaWakuu nimekuwa nikisikia sana kuhusu Masaji sijui Meseji ..... kiukweli sijawahi
Jua hii Kitu inakuwaje hivyo nimetinga hapa Sinza nimeambiwa huku ndo kuna
Wataalamu wa Hiyo kitu, Nakaribia Palestina hapa hebu nielekezeni Chimbo zuri
kwa hiyo masaji ni wapi?
If Possible unaweza kunitumia hata namba kwa Inbox.
Nimeambiwa masaji inaondoa uchovu wa mwili na msongo wa mawazo wacha nijaribu
nitaleta mrejesho.