Tomaso naingia Sinza sio kila kitu kusimuliwa tu leo nataka kufanyiwa Masaji

Tomaso naingia Sinza sio kila kitu kusimuliwa tu leo nataka kufanyiwa Masaji

Nilikuwa na namba za wahudumu wa masagi Tanga, nilisha zipoteza ukipata chimbo zuri na kesho na kesho yake tena utatamani kwenda,
 
Nilikuwa na namba za wahudumu wa masagi Tanga, nilisha zipoteza ukipata chimbo zuri na kesho na kesho yake tena utatamani kwenda,
Mkuu zitafute uniwekee kwa Inbox
 
Sijajua gharama zake lakini mfukoni nina laki tatu kwenye simu kuna laki mbili na sabini na saba na mia tatu sitini na mbili
hahaha ..hiyo inatosha kabisaaa tena waweza kuhama hama room hata 3
 
Wakuu nimekuwa nikisikia sana kuhusu Masaji sijui Meseji ..... kiukweli sijawahi
Jua hii Kitu inakuwaje hivyo nimetinga hapa Sinza nimeambiwa huku ndo kuna
Wataalamu wa Hiyo kitu, Nakaribia Palestina hapa hebu nielekezeni Chimbo zuri
kwa hiyo masaji ni wapi?

If Possible unaweza kunitumia hata namba kwa Inbox.

Nimeambiwa masaji inaondoa uchovu wa mwili na msongo wa mawazo wacha nijaribu
nitaleta mrejesho.
Naona unataka kupapaswa......
Masaji ni kupapaswa....
 
Back
Top Bottom