Tomaso naingia Sinza sio kila kitu kusimuliwa tu leo nataka kufanyiwa Masaji

Nafikiri ulikuwa unamkusudia huyu
Mnajiwekaga kwenye risk mnoo...afu kizembe zembe sana!

We nenda bana nisikuchoshe ukirudi utupe mrejesho
 
Kwahyo cha muhimu asisahau kubeba condom tu
 
Wanaume wa Daslam mnaroho ngumu hapajapata tokea.....
Yaani unajipeleka kusuguliwa mkuyenge kwa kutumia nyonyo....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Yaani unajipeleka kushikwa shikwa kiuno...[emoji47] [emoji47] mwisho kidole kidumbukie kinyeoni, alafu ndio iwe mwanzo wa upunga...[emoji52] [emoji52]
Kama mimi nilishindwa kuvumilia uoshwaji wa maskio baada ya kutoka kunyoa...[emoji53] [emoji53] sembuse huko kwenye unaenda leo....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Anyway.....
Mkuu, minaona umeamua kujielekeza kibla tena bila shuruti....
 
daah mkuu ww mzoefu aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
my point is this..sijamkula dada wa watu...Nakumbuka nimekua honest otherwise ningesema sikusimamisha blah blah..na huyu sio wa kwanza kunifanyia....thats all mkuu
 
Mnajiwekaga kwenye risk mnoo...afu kizembe zembe sana!

We nenda bana nisikuchoshe ukirudi utupe mrejesho
Nifafanulie Mkuu unajua wanawake mna matatizo sana! mimi Mgeni wa hiyo kitu
kama ina tatizo naomba unifafanulie ili nigeuze.
Anashindwa kukwambia tu kwamba kama huitaji chakula cha usiku vaa boxer tatu
 
Mkuu kama hujui uliza nani anapelekwa kidole huko?
 
Hawo wezi sana be careful mzeebaba,kumbuka hapo ni darisalama
 
mkuu kuna kitu a
alafu pia kingine mkuu..mimi natumia daladala...daladala zetu hizi huwatunabana....nimewahi simama na mdada ambae alikua amevaa ile skin tight nyepesi sana na bahati mbaya alikua amesimama mbele yangu...na tumebanana kwelikweli..nilimwambia kua utanisabibishia matatizo...nisije kuishia kujichafua...akinijibu eti "vumilia tu"

kusimama kwa muhogo its very natural na ndo maana huwa tunaota tukiwa kwenye stage ya kubalehe...kwahiyo kusimamisha muhogo has nothing to do with sex..ni kitu ambacho ni preproduction survival ya kibayologia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…