tone moja tu la ziada laweza kukuumbua

tone moja tu la ziada laweza kukuumbua

AMINATA 9

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2011
Posts
2,120
Reaction score
642
umeenda club huko ume enjoy vakutosha na ukaamua kuchukua dem au msela wa kupunguza maukame ya miaka nenda rudi ......... stress.jpg
mnacheza game ucku kucha na kulala fofofo zen mnapoamka asubui unaanza kujilaumu bada ya kukuta umelala na mtu ambaye hata ungekuta naye asubui au mchana huo angekuuliza tu umuelekeze njia mbalia na kukusalimia usingemjibu ila koz ya pombe jana umelala nae na kula tunda ucku kucha ..............ungekua ww ungefanyaje ungejiloweka na omo wiki nzima au ungekata baadhi ya sehemu zako na kuzitupa???????????? wakati we wawaza hayo mwenzio anakushukuru kwa bahati uliyompa ya kula tunda na weye ....ahhaaaaaa utasonyajeeeee
stress2.jpg
 
ah hapo inabidi nikaliane na ujinga wangu.....ila no more contact na huyo mtu
 
Haya mambo yapo sana. Ukiwa club almost kila mwanamke anaonekana mzuri. Cha muhimu ni kuangalia mashine yake! Je ilikuwa bomba? Anaweza akawa mzuri wa sura na umbo but mashine yake ikawa ovyo!
 
Hivi hii njia inatokea mtaa gan?? Nahsi nimepotea kupita huku...
 
Inatokea sana wakubwa..Nadhani Ukiashagundua kama 'umetoka' na demu/msela ambaye sio..dawa ni KUACHA tu!..pombe sio dawa!!!
 
Inatokea sana wakubwa..Nadhani Ukiashagundua kama 'umetoka' na demu/msela ambaye sio..dawa ni KUACHA tu!..pombe sio dawa!!!
wakati ww wataka kuacha mwenzio ndio kakolea kinoma yani
 
Haya mambo yapo sana. Ukiwa club almost kila mwanamke anaonekana mzuri. Cha muhimu ni kuangalia mashine yake! Je ilikuwa bomba? Anaweza akawa mzuri wa sura na umbo but mashine yake ikawa ovyo!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
pombe mbaya sana kadri masaa yanavosonga inaweza mbadilisha betina mpaka kuwa zena hahaaa nimekumbuka vijarida vya sani
 
Hapo hujawazia kama umeukwaa ama vipi maana ukiwa pombe ni nadra kukumbuka kinga!
 
Sio Sex tu, na kitu kinakatikia halafu kinakata kutoka hapo unaonaje?
 
pombe mbaya sana kadri masaa yanavosonga inaweza mbadilisha betina mpaka kuwa zena hahaaa nimekumbuka vijarida vya sani
mh?? hebu tupe na wewe kapiriensi kidogo
 
Haya mambo yapo sana. Ukiwa club almost kila mwanamke anaonekana mzuri. Cha muhimu ni kuangalia mashine yake! Je ilikuwa bomba? Anaweza akawa mzuri wa sura na umbo but mashine yake ikawa ovyo!

we nae mkari..mashine yake unaoionaje? Au unapima oil?
 
Back
Top Bottom