Tongozo mtandaoni: Kinachokatisha tamaa!

Tongozo mtandaoni: Kinachokatisha tamaa!

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Nimekua nikitupia nyavu katika mitandao ya kijamii ili angalau nivue watoto wawili watatu wakuvunja nao mifupa wakati meno ingali ipo, mara nyingi nimefanikiwa mara nyingi pia nimechezea vya mbavu lakini kinachonikatishaga tamaa bila hata yakuambiwa ondoka ni pale ninapofungua picha za mchuchu nakukuta kuna picha za watoto humo ndani, hamu yote huishia hapo na mshipa wa tamaa hunywea! Mungu anisamehe na muwe na jioni njema.
 
Back
Top Bottom