Iiiiiiii hapana mayoooiii!, achaga uoga maayo!
Niombeeni tu nisipigwe ban.Sky tujuze, naona Heaven Sent anaogopa.
Zina kazi yake hizo mkuu.
Kuimarisha mahusiano.Kazi yake ni nini?
Nshakutana na mdada kaweka hiyo mambo kule kunako....mtoto wa kitanga....